Somo la kitunguu saumu: Nguvu yake, tiba na maajabu

Somo la kitunguu saumu: Nguvu yake, tiba na maajabu

Wakuu - for some reason unatakiwa ukishachukua kama punje 3 au 5 za kitunguu saumu ukaziponda. Uzikamulie limao/ndimu moja then uuache huo mchanganyiko for 15 minutes au 30 minutes then ndio unywe. Sina uhakika ila wanasisitiza viache kwa muda kidogo baada ya kuvichanganya. Ukifanya hivyo ukanywa hata mara 3 kwa wiki aisee magonjwa kwako itakuwa historia. dawa ya magonjwa mengi sana. Mimi niliporudi TZ baada ya kuishi nje ya nchi zaidi ya miaka 10 nilikuwa naumwa malaria kila mwezi. sasa hivi naisikia malaria kwenye news tu
Duu asante nitafanya hivyo
Na pia kuepusha harufu unatafuna karanga mbichi
 
Ukitia ndimu iliukate haruhu haupunguzi nguvu yake na ukitumia vipande 15 kila siku asbh na asali vijiko viwili inabusti mambo yetu Hamna madhara asbh kabla hujatia kituo tumboni
Hii ndio nimeprove, kuna kipindi niliona sipigi zile show za fally ipupa, mzee mmoja akanishauri hiyo kitu nilikuwa napiga vipande vyangu kumi kama ni vikubwa , kama ni vile vidogo namenya chote, then natwanga, nachukua na asali vijiko viwili vikubwa na mix na maji moto,,,, hapo ni asubuhi kabla hujapiga hata msawaki, nilifanya hilo zoezi mwezi mzima,, aiseeh baada ya hapo kila show lazima kari la fire lipaki mlangoni[emoji110] [emoji110]
 
Habari zenu wana jf jaman mimi ninahitaji kufahamu namna ya kutumia ile dozi ya kitunguu swaumu kuna uzi niliupitia humu,unazungumzia namna ambavyo kitunguu swaumu kinavyoweza kutibu.

Fangas ,majipu nk, kwa kukumenya chote kisha kukisaga unakichanganya na maji ya vuguvugu ili kilainike then unakula sasa swali langu ni kwamba hii dozi unatakiwa utumie kwa muda gani kwa mtu anayetaka kutibu fangas?
 
pole mwaya kwa ukimya. dawa hizi za asili huwa zina madhara hovyo hovyo, nikushauri tu wtumia hadi tatizo liishe.
 
asante kwa ushauri wake,,ila cjakuelewa,zinakuwa na madhara kivipi? maana nicje nikatumia alafu nikaunguza maini
 
Hii ndio nimeprove, kuna kipindi niliona sipigi zile show za fally ipupa, mzee mmoja akanishauri hiyo kitu nilikuwa napiga vipande vyangu kumi kama ni vikubwa , kama ni vile vidogo namenya chote, then natwanga, nachukua na asali vijiko viwili vikubwa na mix na maji moto,,,, hapo ni asubuhi kabla hujapiga hata msawaki, nilifanya hilo zoezi mwezi mzima,, aiseeh baada ya hapo kila show lazima kari la fire lipaki mlangoni[emoji110] [emoji110]
Usisahau na tiba ya kisaikolojia uliyoipata kuwa una nguvu sasa ikawa imekusaidia kuliko kitunguu chenyewe
 
Nenda hospital wewe usione aibu, hata kama fungus wamekaa sehemu za siri, unaogopa kwenda hospitali kisa utakutana na doctor wa jinsia tofauti na wewe.
Utatumia vitungu swaumu mwaka mzima usipone na wala usione dalili za kupungua halafu vinauma barah jaribu kuviweka.
 
Mmh
Hapo sio ntaichakachua mkuu? Napenda nipate kitu orijinale.

Naona kunaweza kutokea fursa ya biashara hapa, ukitengeneza juice ya Gallic si utauza kwa bei nzuri?
Mmh juice ya kitunguu saumu?
 
Mshana mimi nauliza tatizo la korodani kusinyaa na kuuma wakati mwingine zinakua kama nyekundu hivi alafu pia zinawasha na kutoa vidonda kwa mbali je tiba yake ni nini na je vitunguu swaumu vinaweza kunisaidia na nitatumiaje
 
Mshana mimi nauliza tatizo la korodani kusinyaa na kuuma wakati mwingine zinakua kama nyekundu hivi alafu pia zinawasha na kutoa vidonda kwa mbali je tiba yake ni nini na je vitunguu swaumu vinaweza kunisaidia na nitatumiaje
Mmh unaweza kujaribu kwakuwa tiba ya kitunguu inatibu vingi
 
Darsa zur sana,niliwahi tokewavna kipele mithili ya Bawasili...nilisoma.humu humu JF kuhusu Kitunguu saumu..nikajaribu...unamenya kitunguu saumu kisha unapondaponda yale maji yake unapaka kwenye kile kipele..kwa siku 7
Hakika nilipona...kile kipele kilisinyaa mwishowe kikaisha kabisa
Je, ukimeza punje zake haitosaidia.....?
 
Mkuu Mshana Jr. Nakubaliana na wewe tena sana tuu.

Hili tatizo lilinitokea kutokwa na kinyama wakati nikijisaidia, ila nilivyo anza kumeza punje nane mpaka Tisa za kitunguu swaumu Asubuhi kabla ya kuingiza chochote kinywani na jioni usiku.
Mpaka sasa nikijisaidia hicho kinyama sikuoni tena. Lakini bado sijaelewa kama kitakuwepo kwa ndani au laaa....!!!

Msaada mkuu.....¢¢¢
 
Mkuu Mshana Jr. Nakubaliana na wewe tena sana tuu.

Hili tatizo lilinitokea kutokwa na kinyama wakati nikijisaidia, ila nilivyo anza kumeza punje nane mpaka Tisa za kitunguu swaumu Asubuhi kabla ya kuingiza chochote kinywani na jioni usiku.
Mpaka sasa nikijisaidia hicho kinyama sikuoni tena. Lakini bado sijaelewa kama kitakuwepo kwa ndani au laaa....!!!

Msaada mkuu.....¢¢¢
Hapana kimeshatoweka ila usiache kutumia kwa kinga nyingine
 
Back
Top Bottom