Somo la kitunguu saumu: Nguvu yake, tiba na maajabu

Somo la kitunguu saumu: Nguvu yake, tiba na maajabu

Hapana ila ukiwashwa ujue ndio dawa inaingia[emoji3] [emoji3] BTW hata kula tu inatosha
Kiongozi naomba nisaidie kitu, ni kweli mbegu za mapapai ni tiba kwa minyoo iliyo katika mwili wa binadamu.??
 
Kiongozi naomba nisaidie kitu, ni kweli mbegu za mapapai ni tiba kwa minyoo iliyo katika mwili wa binadamu.??
Sina hakika sana na hili japo nami nilishalisikia sana
 
yaani ndo hivihivi tu mkuu..hapana kwakweli jazia nyama hapo..mchango wako unahitajika

Aongeze nyama gani wakati ushaambiwa" wale"
Wana aleji kali na vitunguu soum?
Msha... mwenyewe alivaa gloves ndo akaandika hii habari!!
 
Kinga nzuri sana ya malaria. Sikumbuki mara ya mwisho kuugua malaria japo nipo jiji la malaria dsm. Hata net sijui bei yake. Chukua vipande kadhaa kula na ndimu ama limao kukata makali yake. Then endelea kulala bila net! Kula vipande kama tano hv guarantee 5+ years without malaria! Mungu Mkubwa!
vipande vya vitunguu sio
 
1. Kufukiza nyumba kwa maganda ya kitunguu
Inaondoa na kuleta kinga dhidi ya wanga/upepo mbaya / nuksi / ndoto za ajabu ajabu/ kinga ya watoto nk.
2. Kwa wale wasafiri kama wafanya biashara hutumia kile kukila au kukiweka mfukoni au kusaga na kujipaka kwa kuchanganya na mafuta
kama kinga.

3. Kwa kina dada moja ya maandalizi unapotaka
Kufanya yale mambo flani basi chumba kwanza hufukizwa thoum kabla ya udi.

4. Kwa wazazi wabichi mafusho ya thoum ni mazuri sana

5. Kidonda cha mshono au popote asali na matone mawili ya thoum ni mujarab kinakauka fasta.

Kina matumizi mengi sana mengine siwezi andika.
 
Aongeze nyama gani wakati ushaambiwa" wale"
Wana aleji kali na vitunguu soum?
Msha... mwenyewe alivaa gloves ndo akaandika hii habari!!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
1. Kufukiza nyumba kwa maganda ya kitunguu
Inaondoa na kuleta kinga dhidi ya wanga/upepo mbaya / nuksi / ndoto za ajabu ajabu/ kinga ya watoto nk.
2. Kwa wale wasafiri kama wafanya biashara hutumia kile kukila au kukiweka mfukoni au kusaga na kujipaka kwa kuchanganya na mafuta
kama kinga.

3. Kwa kina dada moja ya maandalizi unapotaka
Kufanya yale mambo flani basi chumba kwanza hufukizwa thoum kabla ya udi.

4. Kwa wazazi wabichi mafusho ya thoum ni mazuri sana

5. Kidonda cha mshono au popote asali na matone mawili ya thoum ni mujarab kinakauka fasta.

Kina matumizi mengi sana mengine siwezi andika.
Andika yote kwa faida ya jukwaa tafadhali
 
Mim nna tatizo la mgongo kuwaka moto,hospital nshaenda sana had nimekata tamaa nieamua niwe tu nazoe hali hiyo huu mwaka wa kumi unaenda ,je mnaweza nipa tiba wadau
 
Back
Top Bottom