Somo la kitunguu saumu: Nguvu yake, tiba na maajabu

Somo la kitunguu saumu: Nguvu yake, tiba na maajabu

sawa mkuu ntazidi kukuuliza zaidi usichoke.leo tu nimepiga vipande km nane hivi
Duu vya ukubwa gani? Kama no kubwa kama pingili ya kidole kimoja au viwili tu vinatosha kabisa
 
Ndimu kidogo inakata harufu
Kinga nzuri sana ya malaria. Sikumbuki mara ya mwisho kuugua malaria japo nipo jiji la malaria dsm. Hata net sijui bei yake. Chukua vipande kadhaa kula na ndimu ama limao kukata makali yake. Then endelea kulala bila net! Kula vipande kama tano hv guarantee 5+ years without malaria! Mungu Mkubwa!
 
ha ha ha.. kwa majini wanasema Pig ndo kiboko. kwa mtu mwenye majini hata harufu tu ya Pig kwake ni shiidaa. nami nlishuhudia hili kwa mtu wangu wa karibu sana alikuwa amelelewa na baba yake ambaye ni hivyo tena. so akawa na majini na kule kwa iman yao huwa wanaongea nayo yakipanda wanayabembeleza na kuyauliza yanataka nini. basi akaja akawa anaishi nasi. sasa kule ndani kwetu kuna mtu mmoja ikawa naye zikimtuma huko aliko akitoka kazini anapitia kupata Mnyama. akirudi home kwa yule mdada mwenye majini hakulaliki.

yaani anapandisha hataki kabisa kusikia ile harufu ya kiti moto. hata kama jamaa alinawa na sabuni huko aliko akija home inakuwa ni shida. iliendelea hivyo kwa muda siku moja akaja mtu mmoja mlokole akashangaa kuwa eti kuna mtu ana majini then akipandishwa inabidi aitwe us.....h aje apige nayo story huku amemshika sikio. alikuja juu yule mlokole akasema acheni ujinga. leo hayo majini napambana nayo humu ndani.aiseee alianza maombi. yalitoka yenyewe. yule dada mpaka leo anagonga sana ile nyama yaani hana tatizo kabisa.

so hilo la kutumia pork meat kuwakinga watu na Majini nadhan siku moja watu watakuja kuzungumzia.nakumbuka hata enzi za popobawa ilikuwa ili asikutembelee basi ulale na Bible ukiiamini au kipande cha pork.
 
ha ha ha.. kwa majini wanasema Pig ndo kiboko. kwa mtu mwenye majini hata harufu tu ya Pig kwake ni shiidaa. nami nlishuhudia hili kwa mtu wangu wa karibu sana alikuwa amelelewa na baba yake ambaye ni hivyo tena. so akawa na majini na kule kwa iman yao huwa wanaongea nayo yakipanda wanayabembeleza na kuyauliza yanataka nini. basi akaja akawa anaishi nasi. sasa kule ndani kwetu kuna mtu mmoja ikawa naye zikimtuma huko aliko akitoka kazini anapitia kupata Mnyama. akirudi home kwa yule mdada mwenye majini hakulaliki.

yaani anapandisha hataki kabisa kusikia ile harufu ya kiti moto. hata kama jamaa alinawa na sabuni huko aliko akija home inakuwa ni shida. iliendelea hivyo kwa muda siku moja akaja mtu mmoja mlokole akashangaa kuwa eti kuna mtu ana majini then akipandishwa inabidi aitwe us.....h aje apige nayo story huku amemshika sikio. alikuja juu yule mlokole akasema acheni ujinga. leo hayo majini napambana nayo humu ndani.aiseee alianza maombi. yalitoka yenyewe. yule dada mpaka leo anagonga sana ile nyama yaani hana tatizo kabisa.

so hilo la kutumia pork meat kuwakinga watu na Majini nadhan siku moja watu watakuja kuzungumzia.nakumbuka hata enzi za popobawa ilikuwa ili asikutembelee basi ulale na Bible ukiiamini au kipande cha pork.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom