Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,666
- 12,178
duh haya bhana..ngoja tuzingatieUnakisikia tu! Hebu tafuna leo tu kipande kimoja, ukirudia kesho huna haja ya dawa za nguvu za kiume, wewe ni mwanaume tayari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duh haya bhana..ngoja tuzingatieUnakisikia tu! Hebu tafuna leo tu kipande kimoja, ukirudia kesho huna haja ya dawa za nguvu za kiume, wewe ni mwanaume tayari
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]duh haya bhana..ngoja tuzingatie
Kwahiyo hiki chaeza kua tiba kwenye mengiKitunguu swaumu pia husaidia kuongeza na kuimarisha nguvu za kiume kwakua kuboresha mzunguko wa damu mwilini na kuondoa cholesterol mbaya mwilini.
Nilishafanya upasuaji kwa Mara kwanza na ss imejirudia tena!!Kwa stage za mwanzo bawasili yaweza kutibika kwa kitunguu saumu lakini kama imeshakomaa hakuna jinsi zaidi ya kutumia dawa za hospital (Acosal anal ointment) au kufanyiwa upasuaji
[emoji3] [emoji3] [emoji192] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]kwahiyo kaka mchanganyiko wa kitunguu swaumu,bangi na nguruwe yaweza kuwa tiba tosha ya kinga kwa mwili zidi ya uchawi na magonjwa??
Haa ha ha,ule uchachu wake balaaaUnakisikia tu! Hebu tafuna leo tu kipande kimoja, ukirudia kesho huna haja ya dawa za nguvu za kiume, wewe ni mwanaume tayari
DuuuNliona hasa china mtu anawek kitunguu ndni chini y kiatu nackia inasaidia kunyonya sumu sumu mwilin
Vipande vya ukubwa gani maana vyenyewe ni punje ndogo pia!Si unaonainatanua mishipa iliyosinyaa?
Unachifanya unachukua asali maji ya moto na kitunguu saumu robo lita ya maji moto kitunguu saumu vipande viwili asali vijiko vitatu daily kwa mwezi mzima