The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
ngoja nojaribu naona hiyo pia itafaaa zaidi sasa bangi nivute au...na hiyo ngurue niile au nitembee na nyama mfukoni
Bangi usivute, unafunga tu kama hirizi ya kidijitali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ngoja nojaribu naona hiyo pia itafaaa zaidi sasa bangi nivute au...na hiyo ngurue niile au nitembee na nyama mfukoni
Mshana ni kweli kitunguu saumu kinatibu BAWASILI?
TIBA YAKE IKOJE?
Kwa stage za mwanzo bawasili yaweza kutibika kwa kitunguu saumu lakini kama imeshakomaa hakuna jinsi zaidi ya kutumia dawa za hospital (Acosal anal ointment) au kufanyiwa upasuajiNi kweli kitunguu saumu kinatibu BAWASILI?
TIBA YAKE IKOJE?
wengine hutwanga na kupaka ktk uumeSi unaonainatanua mishipa iliyosinyaa?
Unachifanya unachukua asali maji ya moto na kitunguu saumu robo lita ya maji moto kitunguu saumu vipande viwili asali vijiko vitatu daily kwa mwezi mzima
Unampaka kwenye paji la uso tumboni na viganjani
Thanks for sharing....nadhani hii kitu ni zaidi ya tunavyoifamu...na ina thamani kubwa kuliko tunavyoichukulia I mean hiki kitunguu saumuDarsa zur sana,niliwahi tokewavna kipele mithili ya Bawasili...nilisoma.humu humu JF kuhusu Kitunguu saumu..nikajaribu...unamenya kitunguu saumu kisha unapondaponda yale maji yake unapaka kwenye kile kipele..kwa siku 7
Hakika nilipona...kile kipele kilisinyaa mwishowe kikaisha kabisa
Duuu hii kali kabisaBangi usivute, unafunga tu kama hirizi ya kidijitali.
Huwashwi? Hassa kikiingia kwenye njia kuu?wengine hutwanga na kupaka ktk uume
Za nguvu, maan niko nazo karbu hvo vitunguu swaumuMmh zipi hizo?
Unakisikia tu! Hebu tafuna leo tu kipande kimoja, ukirudia kesho huna haja ya dawa za nguvu za kiume, wewe ni mwanaume tayarimimi nipo mwenyewe so huo muda wa kuandaa sitoupata, itakuwaje nikitafuna tu kama bijigii