The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Ikitaka kuondoa harufu yake kamulia limau. Inaisha
Ahsante mkuu. Hua napenda kutafuna walao tembe mbili ila kuna vingine vina harufu kali na vingine kawaida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikitaka kuondoa harufu yake kamulia limau. Inaisha
Ahsante mkuu. Hua napenda kutafuna walao tembe mbili ila kuna vingine vina harufu kali na vingine kawaida.
Jf raha sana[emoji1]kwahiyo kaka mchanganyiko wa kitunguu swaumu,bangi na nguruwe yaweza kuwa tiba tosha ya kinga kwa mwili zidi ya uchawi na magonjwa??
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Ahsante kwa somo mkuu, tatizo LA nguvu za kiume siku hizi limekua kubwa kuliko nguvu za Giza, sasa vinabust mambo yetu?
ngoja nojaribu naona hiyo pia itafaaa zaidi sasa bangi nivute au...na hiyo ngurue niile au nitembee na nyama mfukonikwahiyo kaka mchanganyiko wa kitunguu swaumu,bangi na nguruwe yaweza kuwa tiba tosha ya kinga kwa mwili zidi ya uchawi na magonjwa??
Ni kweli kitunguu saumu kinatibu BAWASILI?
Duu naweza kusema ndio japo hiyo colabo yako inatisha
Ukitia ndimu iliukate haruhu haupunguzi nguvu yake na ukitumia vipande 15 kila siku asbh na asali vijiko viwili inabusti mambo yetu Hamna madhara asbh kabla hujatia kituo tumboni
Jf raha sana[emoji1]
Njia nzuri ponda ponda kwenye kinu au saga kwenye blender weka maji kidogo acha itulie, then kamulia limau.