Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Nazungumzia olevelKama Biology ina umuhimu mbona watu wa ECA, HGE na HKL hawaisomi huko A level?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nazungumzia olevelKama Biology ina umuhimu mbona watu wa ECA, HGE na HKL hawaisomi huko A level?
Kwa hiyo hawa wa form one hawajatoka na mwanga primary school? Eti mkuu?Kwasababu wametoka na mwanga toka O level
Mimi ninazungumzia mfumo mzima wa elimu yetu. Tunahitaji mabadiliko makubwa sana.Nazungumzia olevel
Lugha inabadilika mkuu sio wote wanasoma shule za mabasi ya njanoKwa hiyo hawa wa form one hawajatoka na mwanga primary school? Eti mkuu?
Sawa mkuuLugha inabadilika mkuu sio wote wanasoma shule za mabasi ya njano
Mabeberu waje washuhudie maendeleo yanayoletwa na Rais SamiaRais Samia analeta maendeleo kila kona ya Nchi. Hakika huyu mama ni zawadi ya Mungu kwa watanzania.
Asante Samia, Mungu akupe afya njema daimaMabeberu waje washuhudie maendeleo yanayoletwa na Rais Samia
Nakumbuka o level sikusoma kabisa commerce wala bookeeping mana nilikua science, advance nikakutana na economics.Alafu mkuu wanaosoma Economics advance co ECA peke yao bali kuna EGM na HGE ambao hawasomi commerce.
Asante kwa ushuhuda mzuri mkuu. Sasa unaonaje kama somo hilo litaanzia kidato cha kwanza kama Physics na Chemistry?Nakumbuka o level sikusoma kabisa commerce wala bookeeping mana nilikua science, advance nikakutana na economics.
Nitoe ushuhuda nilisoma na kulipenda sana somo kwasababu theory nyingi zipo katika maisha yetu ya kawaida, eg theory of demand,kwakweli ni somo nzuri sana, huchoki kulisoma calculation zake zinaeleweka.
Hata siku moja Rais Samia hapumzishwi wala kutishwa na wahuni wa mtandaoniAsante Samia, Mungu akupe afya njema daima
Ni aibu kubwa kumpinga Rais Samia kwa uzalendo anaouoneshaHata siku moja Rais Samia hapumzishwi wala kutishwa na wahuni wa mtandaoni
Kwa jinsi somo nilivyoona liko wide ila mbeleni linaenda kuzidi kua complex kidogo kwasababu linazidi kusoma tabia za mtu binafsi na uchumi wa taifa kwa ujumla.Asante kwa ushuhuda mzuri mkuu. Sasa unaonaje kama somo hilo litaanzia kidato cha kwanza kama Physics na Chemistry?
Usimfananishe Rais Samia na watu wa hovyo hovyo aisee. Huyu mama ni mchapakaziNi aibu kubwa kumpinga Rais Samia kwa uzalendo anaouonesha
Samia tunataka maendeleo zaidi Rais wetu kipenzi. We love you mamaUsimfananishe Rais Samia na watu wa hovyo hovyo aisee. Huyu mama ni mchapakazi
Rais Samia amekomesha rushwa na ufisadi. Hakika huyu mama ni shujaa wa TanzaniaSamia tunataka maendeleo zaidi Rais wetu kipenzi. We love you mama
Watanzania hatutaki siasa chafu wajifunze siasa safi za Samia hao WapinzaniRais Samia amekomesha rushwa na ufisadi. Hakika huyu mama ni shujaa wa Tanzania
Mkuu, mwambie Rais Samia kuwa Asante kwa bwawa la umeme la NyerereWatanzania hatutaki siasa chafu wajifunze siasa safi za Samia hao Wapinzani
Mama yetu Rais Samia ametoa pesa nyingi sana kwa ajili ya miradi mizuri ya maendeleo. Mungu mpe afya njema shujaa huyuMkuu, mwambie Rais Samia kuwa Asante kwa bwawa la umeme la Nyerere
Viongozi wa bara la Ulaya na Asia kama vile Waziri mkuu wa India Narendra anamkubali sana Rais SamiaMama yetu Rais Samia ametoa pesa nyingi sana kwa ajili ya miradi mizuri ya maendeleo. Mungu mpe afya njema shujaa huyu