Somo nyeti: Unapokuwa katika mahusiano na mtoto hakikisha anashidwa kukuelewa wala kukusoma wewe ni mwanaume wa aina Gani

Somo nyeti: Unapokuwa katika mahusiano na mtoto hakikisha anashidwa kukuelewa wala kukusoma wewe ni mwanaume wa aina Gani

Bata batani

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2011
Posts
3,217
Reaction score
3,694
Ewe kijana wa kiume kama upo katika mahusiano na mtoto wa kike hakikisha anashidwa kukuelewa wala kusoma wewe ni mtu wa aina Gani iwe umeoa au hujaoa .......

Siku zote katika mahusiano wanawake huwa wana maswali mengi ambavyo wanapenda kusikia toka kwa mwanaume lengo ni kuweza kukufahamu vizuri, narudia kukufahamu vizuri.......

Na siku zote mwanamke akishaanza kukufahamu vizuri wewe ni mtu wa aina gani basi tambua ya kwamba mwisho wako wa kufurahia maisha umekwisha kwani mwanamke tiyari atakuwa kashajua madhaifu yako hivyo atakuendesha vile atakavyo.
 
Ewe kijana wa kiume kama upo katika mahusiano na mtoto wa kike hakikisha anashidwa kukuelewa wala kusoma wewe ni mtu wa aina Gani iwe umeoa au hujaoa .......

Siku zote katika mahusiano wanawake huwa wana maswali mengi ambavyo wanapenda kusikia toka kwa mwanaume lengo ni kuweza kukufaham vizuli,narudia kukufahamu vizuli.......

Na siku zote mwanamke akishaanza kukufahamu vizuli wewe ni mtu wa aina gani basi tambua ya kwamba mwisho wako wa kufurahia maisha umekwisha kwani mwanamke tiyali atakuwa tiyali kashajua madhaifu yako hivyo atakuendesha vile atakacyo
Point yangu ipo hapo mwisho kabisa....
Mwanaume anae kubali kuendeshwa na mwanamke, basi huyo mwanaume hajielewi na hafai kuwa kichwa hata kwenye geto kwake pekeyake..☹️
 
Nazani ulikuwa unamaanisha vizuri na sio vizuli, japo umerudia mara tatu.

Ningekomenti sema sijaelewa hilo neno vizuli.
 
Sasa mzee kuwa na uhusiano na mtoyo si kuitafita miaka 30 jela 😂

Kwenye mahusiano unapaswa kuwa mtu asiyetabirika.
 
Kuishi ili asikulewe ni moja ya michezo ya kitoto katika muendelezo wa kupoteza muda.
Unapokuwa katika harakati zao kuanzia asubuhi mpaka jioni utawapi wapi muda kufanya drama?

Fanya kazi, rudi nyumbani, angalia familia hasa wanao kama umeoa na hakikisha kila kitu kipo sawa. Nenda kapumzike.
 
Back
Top Bottom