Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,540
Iko mbaya gani. Shareholders watatu in red hapo juu ni private investors. Kwa hiyo Songas inaendesha shughuli zake kwa misingi ya kibiashara siyo kama mashirika yetu ya umma yanavyoendeshwa kwa misingi ya kisiasa.
Kufuatana na hali ya umeme nchini, this is a good business opportunity for anyone with brains kununua hiyo mitambo maana itahitajika tu hata Tanesco wanunue mitambo hiyo mipya.
Hapo Tanesco itapoanza kuwalipa capacity charges na Songas kuongeza faida yao, ndio wale wanaopinga ununuzi wa mitambo ya Dowans watapoona makosa waliyoyafanya. Na Bunge litaangalia hivi hivi bila kuwa na lolote la kufanya kwani halima mandate ya kuingilai utendaji wa Songas.
Msijidanganye TDFL ni mali ya Serikali! Hata kama leo tutadanganywa kuwa Commonwealth Development Corporation wana stake kubwa, lakini bado TDFL ni kampuni ya Serikali.
Miaka ya Nyerere ma GM wa TDFL, anza na Madete hata George Mbowe walikuwa ni uteuzi wa Nyerere!
so we are still being duped by our leaders!