Hapo Tanesco itapoanza kuwalipa capacity charges na Songas kuongeza faida yao, ndio wale wanaopinga ununuzi wa mitambo ya Dowans watapoona makosa waliyoyafanya. Na Bunge litaangalia hivi hivi bila kuwa na lolote la kufanya kwani halima mandate ya kuingilai utendaji wa Songas.
Jamani naomba kueleweshwa kidogo. Labda nianze kwakutumia example say:
Kampuni A = dalali wa kuuza magari
Kampuni B = kampuni yaku azimisha magari (car hire firm)
Tatizo X = magari ya wizi kutoka Africa Kusini
Je kama Serekali imejaribu kununua magari kutoka kwa
Kampuni A kwa maitaji ya dharula(ka mkutano wakimataifa).
Wanaichi wamepiga mayowe kwamba hayo magari ya
Kampuni A yasinunuliwe kwasababu ni MITUMBA.
Sheria za ununuzi zinasema Serekali lazma inunue magari "Brand New" kama wanataka.
Wakati mvutano unaendela, inakuja kugundulika kwamba magari ya
Kampuni A yana
Tatizo X, kosa ambalo aliruhusiwi kwenye procument process ya nchi(na kuweza kubatilisha mkataba kama ukifanyika).
Kuna uwezekano mkubwa pia kwamba
Kampuni A inaweza kuchukuliwa hatua za kisheria kwa kosa
hilo(
Tatizo X).
Serekali imekodishwa magari kwa mkataba na
Kapuni B kwa mda ili kumudu matumizi yakawaida.
Kapuni A imeshindwa kumuuzia Serekali magari yake kwasababu ni MITUMBA na
Tatizo X bado lipo lakini limechuniwa.
Kapuni A inasuka mpango na wahusika kumuuzia
Kapuni B magari yake.ilikukwepa kipengele cha ununuzi wa "Brand New" Serekalini.
Kapuni B ikinunua hayo magari nakutaka kunigia kwenye mkataba mwingine na Serekali, lakini huu mkataba mpya uwe wa-mda kumudu dharula Serekalini.
Je huo mkataba mpya na Serekali utakua umeliondoa kosa ya kwamba hayo magari bado yana
Tatizo X?