Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
ITV wamerudia habari na jeshi la polisi amesema nani kahusika ,wavaa misuli tabu tupuKwa akili za kuzaliwa tu, kwanini hicho kipindi chote ambacho Uamsho ulikaa ndani miaka 8 hakukutokea ugomvi wa sadaka hadi makanisa yachomwe ije itokee leo hii?