Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo sio makanisa ni vibanda umiza,kanisa la mabati au makuti nalo kanisaMakanisa mawili ya Pentekoste Tanzania (KLPT) na Tanzania Calvary Tabelinacle Church katika kata ya Mshangano wilayani Songea mkoani Ruvuma yamechomwa moto na kuzua taharuki na wasiwasi miongoni mwa wananchi.
Tumezungumza kwa njia ya simu na Kamanda wa Polisi wa mkoani Ruvuma ACP Joseph Konyo amesema wanamshikilia mtu mmoja kutokana na tukio hilo.
ITV
Haileti picha nzuri
Rais alikosea sana kuwaachia wale magaidi ya Zanzi
Hata zile shule za waislamu zilizokua zinachomwa kila siku ni hao magaidi ya zanzibarHaileti picha nzuri
Rais alikosea sana kuwaachia wale magaidi ya Zanzibar
Watu wa dini ile ya Hamza hawakosekani, subiri Polisi wataje majina ya wanaotuhumiwaUgomvi wa kugombea sadaka lakini watawasingizia wengine, serikali iwe makini na haya makanisa ya wachumia tumbo aka Kibwetere's
Duuuuh!Yapi ambayo sio ya wachumia tumbo nikupe data...
Mmeanza kubaguana nyie kwa nyieHayo ni madhehebu.......
kanisa ni moja tu ambalo ni katoliki
Serikali hairuhusiwi kuingilia hizo mambo mkuuWajameni tafadhaaaaaaali sana wenye mamlaka msaidie wafunguzi wa makanisa kwa maana ya wachungaji na wamiliki wa makanisa walau wawe na shahada ya theology tafadhaaaaaaali.
Huko kkkt kila siku maugomviRoman Catholic
Evangelist Lutheran Church of Tanzania
Anglican Church
Mengi yoooooote yaliyobaki ni ya wababaishaji watupu.
mbona shule za kiislamu nyingi zinaungua moto hatusemi wamechoma wakristo na hakuna anaekamatwa ila kanisa ikiiungua waislamu lazima wakamatwe. na hii inatokea sana rais anapokuwa muislam
Kwani kukamata si unakamata yeyote ukijiskiaHawa ndugu zake Hamza hawa, wakikamatwa tu majina yatawaumbua
Tuwe na Imani kidogo na Polisi wetu hasa kwenye mambo kama hayaKwani kukamata si unakamata yeyote ukijiskia
Ina maana
MAKAFIRI bhana
Hata huu ujumbe umeandika kama unakimbia moto.Makanisa mawili ya Pentekoste Tanzania (KLPT) na Tanzania Calvary Tabelinacle Church katika Kata ya Mshangano wilayani Songea mkoani Ruvuma yamechomwa moto na kuzua taharuki na wasiwasi miongoni mwa wananchi.
Makanisa mawili ya Pentekoste Tanzania (KLPT) na Tanzania Calvary Tabelinacle Church katika kata ya Mshangano wilayani Songea mkoani Ruvuma yamechomwa moto na kuzua taharuki na wasiwasi miongoni mwa wananchi.
Tumezungumza kwa njia ya simu Kamanda wa Polisi wa mkoani Ruvuma ACP Joseph Konyo amesema wanamshikilia mtu mmoja kutokana na tukio hilo.
Chanzo: ITV
Kwa chuki zenu binafsi hizo ndio mnawachochea, endeleeni tu.Watu wa dini ile ya Hamza hawakosekani, subiri Polisi wataje majina ya wanaotuhumiwa
Mkuu kwani wale unaowaita magaidi mh. Rais amewaachia kwa msamaha au tuhuma zao zimeshindwa kuthibitishwa mahakamani for 5+ years? Ulitaka wahukumiwe kwa tuhuma tu bila ushahidi usiona shaka!Haileti picha nzuri
Rais alikosea sana kuwaachia wale magaidi ya Zanzibar