Songea: Sita jela miaka 50 kwa kutaka kuipindua Serikali ya Tanzania ili kuanzisha Taifa la Kiislamu

Songea: Sita jela miaka 50 kwa kutaka kuipindua Serikali ya Tanzania ili kuanzisha Taifa la Kiislamu

Hii case ni ya kutungwaa, na ni uongo mtupuuu, kuna kitu hapa kipo nyuma ya hii case.

Duuuuuh hatareeee.

Sent using Jamii Forums mobile app
ya kutunga kwamba dini fulani hainalengo la kutawala serikali mf Nigeria na Boko Haram, Somalia na Alshabab.

kwamba dini fulani haifundishi wafuasi wake jihad waue watu wakiwalazimisha kua wa hiyo dini kwa kuahidiwa mabikra 72 peponi ? (Dini nyingine ni za kijinga sana)
 
Huwa wanaanzaga tararibu,mkichelewa ndo matokeo wanakuwa kundi kubwa sana la kigaidi kama alishabab,al queda,m23,boko haram.
Wakifikia hiyo stage wanapata wafadhili na kuanza kusumbua serikali..ndo vile unasikia mara wamevamia shule wamesomba wanafunzi na kuwateka,wamelipua soko nk
Na hapo unaambiwa kuna wengine hawajakamatwa wamefanikiwa kukimbilia msumbiji,so ni wengi.
Haya mambo sio ya kuchekea
Porojo tu,upindue serikali Kwa visu na Kung Fu!!?..hayo magenge yote uliyotaja yalikua na wafadhili toka mwanzo,huko tunduru watu wanateswa sana akiwemo jamaa yangu mmoja mgonjwa ukimwi,wakihusishwa na watu wa kibiti na msumbiji,kaachiwa hoi
 
ya kutunga kwamba dini fulani hainalengo la kutawala serikali mf Nigeria na Boko Haram, Somalia na Alshabab.

kwamba dini fulani haifundishi wafuasi wake jihad waue watu wakiwalazimisha kua wa hiyo dini kwa kuahidiwa mabikra 72 peponi ? (Dini nyingine ni za kijinga sana)
Una akili timamu!?..kwa kuwa Kuna Boko Haram na alshabaab huko somalia na Nigeria basi waislam wa tz nao hata bila ushahidi au kuwepo vitendo hivyo,watakua watafanya Kama Boko Haram na alshabaab!?
 
Iran inaitafuta nini tanzania !
hata miaka ya nyerere alishawai kuwafurumusha hapa.
wanajifanya kuja kusaidia kwa kufadhili miradi kama visima,misikiti na dini kumbe wanalao jambo.

usalama wa taifa tuomba kuichunguza vizuri ili taifa la iran
 
"Kupindua Serikali ya jamuhuri ya Muungano Tanzania"

Neno zito SANA hilo!!

Je !hukumu iliyotolewa Ndio mwisho wa juhudi HIZO!?

Ni hao tu au wapo na WENGINE!?

Mtandao wao ni mpana kiasi Gani!?hukumu imeuangamiza mtandao WOTE!?

Halafu kesi kama hizo Huwa zinavuma Sana Mbona hii haijawa gumzo kama ya yule jamaa!?

Yaani,kesi ya kutaka kupindua Serikali inaripotiwa na nipashe pekee bila live coverage ya kesi nzima!!?KWA maana hiyo mtu asiposoma nipashe hawezi jua kama kulikuwa na maadui wa jamuhuri NCHINI sio!?


Kama una akili timamu maswali ni Mengi Sana!

KICHAA mwingine Anaweza kuibuka na swali kuwa "Mnaspin kitu Gani KWENYE hili"!!!

MUNGU ibariki Tanzania nchi yetu
 
Porojo tu,upindue serikali Kwa visu na Kung Fu!!?..hayo magenge yote uliyotaja yalikua na wafadhili toka mwanzo,huko tunduru watu wanateswa sana akiwemo jamaa yangu mmoja mgonjwa ukimwi,wakihusishwa na watu wa kibiti na msumbiji,kaachiwa hoi
Sehemu wakijaa waislamu halafu wakawa wajinga yani hawana elimu..tarajia ma upumafu kama haya..acha wapate chamoto wameua sana askari na raia rufuji na kibiti na mpakani mwa mto ruvuma.

Kwa Intel iliyopo kila muhusika lazima akamatwe.

#MaendeleoHayanaChama

#MaendeleoHayanaChama
 
Porojo tu,upindue serikali Kwa visu na Kung Fu!!?..hayo magenge yote uliyotaja yalikua na wafadhili toka mwanzo,huko tunduru watu wanateswa sana akiwemo jamaa yangu mmoja mgonjwa ukimwi,wakihusishwa na watu wa kibiti na msumbiji,kaachiwa hoi
Sehemu wakijaa waislamu halafu wakawa wajinga yani hawana elimu..tarajia ma upumafu kama haya..acha wapate chamoto wameua sana askari na raia rufuji na kibiti na mpakani mwa mto ruvuma.

Kwa Intel iliyopo kila muhusika lazima akamatwe.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom