T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Hawa wamehukumiwa kula njama, kupanga. Au ulitaka kwanza wakulipue ndio waje kuhukumiwa?Hivi kweli watu sita wanapindua serikali kwa kutumia visu? Maana hawakupatikana na silaha.
Kufanya fujo ingeeleweka.
ya kutunga kwamba dini fulani hainalengo la kutawala serikali mf Nigeria na Boko Haram, Somalia na Alshabab.Hii case ni ya kutungwaa, na ni uongo mtupuuu, kuna kitu hapa kipo nyuma ya hii case.
Duuuuuh hatareeee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Imekuchoma sana , poleHii case ni ya kutungwaa, na ni uongo mtupuuu, kuna kitu hapa kipo nyuma ya hii case.
Duuuuuh hatareeee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Porojo tu,upindue serikali Kwa visu na Kung Fu!!?..hayo magenge yote uliyotaja yalikua na wafadhili toka mwanzo,huko tunduru watu wanateswa sana akiwemo jamaa yangu mmoja mgonjwa ukimwi,wakihusishwa na watu wa kibiti na msumbiji,kaachiwa hoiHuwa wanaanzaga tararibu,mkichelewa ndo matokeo wanakuwa kundi kubwa sana la kigaidi kama alishabab,al queda,m23,boko haram.
Wakifikia hiyo stage wanapata wafadhili na kuanza kusumbua serikali..ndo vile unasikia mara wamevamia shule wamesomba wanafunzi na kuwateka,wamelipua soko nk
Na hapo unaambiwa kuna wengine hawajakamatwa wamefanikiwa kukimbilia msumbiji,so ni wengi.
Haya mambo sio ya kuchekea
Una akili timamu!?..kwa kuwa Kuna Boko Haram na alshabaab huko somalia na Nigeria basi waislam wa tz nao hata bila ushahidi au kuwepo vitendo hivyo,watakua watafanya Kama Boko Haram na alshabaab!?ya kutunga kwamba dini fulani hainalengo la kutawala serikali mf Nigeria na Boko Haram, Somalia na Alshabab.
kwamba dini fulani haifundishi wafuasi wake jihad waue watu wakiwalazimisha kua wa hiyo dini kwa kuahidiwa mabikra 72 peponi ? (Dini nyingine ni za kijinga sana)
Na mimi nakubaliana wewe.Sema nn wangekinukisha tu kwaNza maana nchi hii raia hatuthaminiwi kabSa
Kama hujui kuhusu kitu fulani sio lazima utie neno la ubishi. Ni bora ungeliuliza sehemu ambayo hujaelewa, ukaeleweshwa.Hii case ni ya kutungwaa, na ni uongo mtupuuu, kuna kitu hapa kipo nyuma ya hii case.
Duuuuuh hatareeee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waislamu wengi wenu mna akili za panzi shenzi kabisa nyieShika adabu yako, utafutwa wewe hapa duniani.
Kama hujui kuhusu kitu fulani sio lazima utie neno la ubishi. Ni bora ungeliuliza sehemu ambayo hujaelewa, ukaeleweshwa.
Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app
Ndio hapo sasaHawa wamehukumiwa kula njama, kupanga. Au ulitaka kwanza wakulipue ndio waje kuhukumiwa?
Nimesoma story yote nimeishia na kizunguzungu... Kweli dunia ni tambara bovuHivi kweli watu sita wanapindua serikali kwa kutumia visu? Maana hawakupatikana na silaha.
Kufanya fujo ingeeleweka.
Tupe ukweli wako..ili tupime mizani.Hii case ni ya kutungwaa, na ni uongo mtupuuu, kuna kitu hapa kipo nyuma ya hii case.
Duuuuuh hatareeee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kupaniki wewe mzenji...hii dini ina tatizo mahali.Shika adabu yako, utafutwa wewe hapa duniani.
Sehemu wakijaa waislamu halafu wakawa wajinga yani hawana elimu..tarajia ma upumafu kama haya..acha wapate chamoto wameua sana askari na raia rufuji na kibiti na mpakani mwa mto ruvuma.Porojo tu,upindue serikali Kwa visu na Kung Fu!!?..hayo magenge yote uliyotaja yalikua na wafadhili toka mwanzo,huko tunduru watu wanateswa sana akiwemo jamaa yangu mmoja mgonjwa ukimwi,wakihusishwa na watu wa kibiti na msumbiji,kaachiwa hoi
Sehemu wakijaa waislamu halafu wakawa wajinga yani hawana elimu..tarajia ma upumafu kama haya..acha wapate chamoto wameua sana askari na raia rufuji na kibiti na mpakani mwa mto ruvuma.Porojo tu,upindue serikali Kwa visu na Kung Fu!!?..hayo magenge yote uliyotaja yalikua na wafadhili toka mwanzo,huko tunduru watu wanateswa sana akiwemo jamaa yangu mmoja mgonjwa ukimwi,wakihusishwa na watu wa kibiti na msumbiji,kaachiwa hoi