Songea: Sita jela miaka 50 kwa kutaka kuipindua Serikali ya Tanzania ili kuanzisha Taifa la Kiislamu

Kuna kuna mito ya pombe tena pombe tamu kuliko hizi za duniani( sheikh kipozeo)
Tena yule mwamba unakuta watu na degree zao wametulia wanamsikiliza taahira mmoja kama yuleπŸ˜€
 
Serikali ingefungia kukesha misikitini watu wanafundishans ujinga sana mle
Kuwe na muda maalum wa kwenda kuswali wakimaliza ifungwe mpaka muda mwingine wa swala
 
Serikali ingefungia kukesha misikitini watu wanafundishans ujinga sana mle
Kuwe na muda maalum wa kwenda kuswali wakimaliza ifungwe mpaka muda mwingine wa swala
Hakuna mwenye uwezo wa kufanya hivyo tz, huko ni kuingilia uhuru wa kuabudu, cha msingi akipatikana muhalifu atumikie adhabu full stop, ukitaka uwe muhalifu tz na uinjoi maisha kuwa fisadi basi
 
Hakuna mwenye uwezo wa kufanya hivyo tz, huko ni kuingilia uhuru wa kuabudu, cha msingi akipatikana muhalifu atumikie adhabu full stop, ukitaka uwe muhalifu tz na uinjoi maisha kuwa fisadi basi
Kwani rwanda waliwezaje kupata utulivu na haya mambo ya dini? Tuige tu mfano tuachane na hawa waswahili
 
Sasa yule kiongozi mwandamizi wa CUF si ndiyo DC huko Tunduru!!! Ikumbukwe 2010 JK aliwahi kusema akiwa hukohuko Ruvuma kuwa chama hicho ni cha kidini na lengo lake ni kuhatarisha amani ya nchi!!
 
Kuna mijitu mijinga ita amini kilicho aandikwa hapa.

Mtu kavaa kavaa kofia tu au kwa kuwa ana ndevu nyingi kama osama basi anaweza kupindua tanzania??? Hana hata rungu


Kupindua nchi huko mna maanisha anamtoa na rais mawaziri na wabunge alafu anaweka dolar ya kiislamu kwa misingi ipi


Ni mjinga tu na mwenye kichaaa ndio atakubaliana na hayo maamuzi ya mahakama.
 
naona Hao jamaa majina yao ni ya Kiislam wote, ambapo wametetewa na mawakili wakristu, huku upande wa Jamhuri ukiwakilishwa na Mawakili Wakristo wote, huku hakimu akiwa pia ni Mkristo.

Alafu hapo kwa watuhumiwa naona Familia ya Chombo dhidi ya Jamhuri, kuna Chombo watatu hapo. kwanini hawa jamaa walikuwa na chuki dhidi ya Serikali kiasi cha Kutaka kuipindua? Hao viongozi wao waliokimbilia Msumbiji vipi maana Msumbiji hapo si mbali kwanini wasifuatwe? Tumeona jinsi Marekani anavyofuata magaidi popote walipo na kuwawajibisha hawa wapo jirani tu hapo kuvuka Mtwara kwanini wasitafutwe waje kuungana na hawa wenzao?

Ugaidi\Uhaini hizi Kesi ni nzito, kupanga Ugaidi Jela miaka 50 kutekeleza ugaidi unaweza fungwa miaka BUKU..
 
Kwani rwanda waliwezaje kupata utulivu na haya mambo ya dini? Tuige tu mfano tuachane na hawa waswahili
Nimeshakwambia tz haiwezekani, endelea kujifariji na kinchi kiduchu kama Rwanda, hivi unaweza linganisha idadi ya waislam wa Rwanda na Tz? Waislam waliopo tz wanazidi idadi ya raia wote wa Rwanda.
 
Nimeshakwambia tz haiwezekani, endelea kujifariji na kinchi kiduchu kama Rwanda, hivi unaweza linganisha idadi ya waislam wa Rwanda na Tz? Waislam waliopo tz wanazidi idadi ya raia wote wa Rwanda.
Rwanda wapo milioni 12, Waislamu tz wanafika milioni 12?
 
Una akili timamu!?..kwa kuwa Kuna Boko Haram na alshabaab huko somalia na Nigeria basi waislam wa tz nao hata bila ushahidi au kuwepo vitendo hivyo,watakua watafanya Kama Boko Haram na alshabaab!?
Ushahidi si ndio huo sasa mahakama imethibitisha au unataka nini tena?
 
Wanaficha kwakuwa wanaogopa hisia za watu wa dini, isitoshe raisi ni dini hiyo
 
Umefuatilia lakini huo mlolongo wa case?? Sizungumzii dini mie hapa, nazungumzia kuhusu upinduaji wa serikali.

Mada ikikuzidi uwezo pita kimyaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…