Songea: Sita jela miaka 50 kwa kutaka kuipindua Serikali ya Tanzania ili kuanzisha Taifa la Kiislamu

Songea: Sita jela miaka 50 kwa kutaka kuipindua Serikali ya Tanzania ili kuanzisha Taifa la Kiislamu

@jiwe angavu ww ni zero brain, hivi kilichoandikwa hapo kinakuingia akilini???? Mtu hajawai hata kufika dodoma anawezaje kupindua serikali

Ni msongo wa mawazo na sonono tu hakuna lingine

Watu wa aina hiyo wapo wengi ,wanasumbuliwa na afya ya akili kama wewe
Kwa akili yako mtu mpaka afike ikulu ndio aonekane mhaini?..kitendo cha kupanga mipango ya kuangusha serikali na ikafahamika hata kama ulipangia kazuramimba..wewe una hatia.

#MaendeleoHayanaChama
 
16 December 2022

Akisoma hukumu hiyo Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Songea, Mhe. Dkt. Yose Mlyambina PhD, mheshimiwa Jaji alianza kufafanua masuala na tafsiri ya ugaidi kwa kurejea sheria za nchi kama India, Marekani, Sudan na pia taasisi ya UN/ Umoja wa Mataifa inatafsiri ugaidi ni nini pamoja na kutumia kesi rejea kadhaa zilizopata kuhukumiwa ktk nchi kadhaa .....

Court name
High Court of Tanzania
Registry
High Court Songea Registry
Case number
Economic Case 4 of 2022

Republic vs Seif Abdallah Chombo and 5 Others (Economic Case 4 of 2022) [2022] TZHC 15198 (16 December 2022);​

Media neutral citation
[2022] TZHC 15198
SOMA ZAIDI: kurasa 100 ya hukumu ya kesi hii mbele ya Mahakama Kuu Maalum ..
Source : Republic vs Seif Abdallah Chombo and 5 Others (Economic Case 4 of 2022) [2022] TZHC 15198 (16 December 2022); | Tanzlii
 
Upo period binti? Usipende kubisha kila kitu wengine huku ndiko kwetu inapotokea mtu asiyejua kusoma wala kuandika halafu akaja kuikariri elimu ya kiislamu huwa matokeo yake yanakuwa mabaya
Sasa nani hakujui Tunduruuuu?? Kwa taarifa yako naijua Tunduru kuliko wee, hapo Waislamu nimeishi nao kwa 11yrs,

Mkoa wa Ruvuma ni kwetu, wayao nawajua vyedi hadi lugha yao naijua haswaaa, nitoleee upuuzi wako hapaaa.

Mxxxcieeeeew

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa Waislam wameaidiwa ukipigana dhidi ya Kafiri unaenda pepon kupata Wanawake wazuri wenye arufu nzuri,Hao hawa bleed na unapewa na nguvu za kuwagonga wote kuanzia Mia[emoji23][emoji23][emoji23]

Na unapewa Sura nzuri chakula kingi kuanzia sahani mia[emoji23][emoji23][emoji23].
Ndo biashara za Allah wao huko mbinguni.
Kwahiyo ni pepo ya kugonoka kwa kwenda mbele na kunywa pombe isiyo na kilevi ahahaha
 
Sita jela miaka 50 kwa kutaka kuipindua Serikali ya Tanzania

Hukumu hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki mbele ya Jaji Dk. Yose Mlyambina kwenye Masijala Ndogo ya Songea.

Washtakiwa katika kesi hiyo ni Seif Chombo, Abdallah Chombo, Mohamed Kamala, Athumani Chombo, Omary Mbonani na Rashidi Ally.

Akisoma hukumu hiyo, Jaji Yose alisema washtakiwa wanatuhumiwa kati ya Januari Mosi 2014 na Julai 13, 2020, kwenye maeneo tofauti wilayani Tunduru mkoani Ruvuma na maeneo mengine nchini, kwa pamoja walikula njama ya kufanya ugaidi.

Wanadaiwa kula njama kuanzisha vita ya kidini vijulikanavyo Jihad na kuwashawishi vijana kuongeza nguvu kuipindua Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuanzisha Taifa la Kiislamu kwa kutumia nguvu na machafuko.

Alisema malengo yalikuwa kuongoza kwa kutumia sheria za Kiislamu, washtakiwa walipekelekwa nchi mbalimbali zenye uongozi wa Kiislamu kwa ajili ya mafunzo zaidi ya Jihad kinyume cha sheria na taratibu za Jamhuri Muungano wa Tanzania.

"Kitendo hicho hakihatarishi tu maisha ya watu wengine, bali hata wao wenyewe, ni hatari kwa maisha yao, " alisema Jaji Yose.

Washtakiwa walifikishwa mahakamani kwa makosa mawili ya kula njama kufanya ugaidi na kushiriki vikao vya kufanya ugaidi.

Washtakiwa wanadaiwa kutenda makosa hayo kwenye Kijiji cha Lumbukule na maeneo mengine wilayani Tunduru, Mkoa wa Ruvuma ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ilidaiwa mahakamani huko kuwa washtakiwa kwa pamoja na wengine ambao hawakuwapo mahakamani, walishiriki kufanya kikao kinachohusiana na masuala ya ugaidi, kula njama ya kutaka kuanzisha Serikali ya Kiislamu kwa kutumia nguvu kwa malengo ya kuvuruga mfumo wa kisiasa, kiuchumi na kijamii wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Washtakiwa hao walikana mashtaka hayo, lakini walikiri kukamatwa na waliposomewa hoja za awali, walizikana isipokuwa majina yao, wakazi wa Lukumbule, walikubali kwamba walikamatwa na kupelekwa kituo cha polisi na kwamba wanaujua msikiti wa Al Malidi na wanaishi kwenye kijiji hicho tangu mwaka 2017 mpaka 2020.

Katika kesi hiyo, Jamhuri iliwakilishwa na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Hebel Kihaka aliyesaidiana na Tulimanywa Majigo na Edgar Bantilaki.

Washtakiwa walikuwa wakiwakilishwa na Mawakili Naomi John, Nestory Nyoni Rafael Matola, Alex Nyoni, Razaro Simba na Denis Razaro.

Katika kesi hiyo, upande wa mashtaka ulikuwa na mashahidi wanne na vielelezo vitano.

Washtakiwa walijitetea wenyewe kwa kiapo na hakuna aliyekuwa na kielelezo chochote.

Miongoni mwa ushahidi uliotolewa ni kwamba serikali iliharibu kambi yao maeneo ya Lukumbule, Tunduru maeneo ya Magazini, Nanyumbu, Ntamba Swala mpakani mwa Msumbuji, Tandahimba, Newala na Masasi na Mtwara.

Ushahidi ulidai malengo ya washtakiwa yalikuwa uamuzi wote ufanyike chini ya misingi ya Quran Tukufu.

Inadaiwa viongozi wao wanaishi Ruvuma, Lindi, Mtwara na Pwani na kwamba viongozi wachache walikamatwa huku wengine wakifanikiwa kukimbilia Msumbiji.

Pia ilidaiwa wahalifu hao waliua na kuharibu vijiji ambavyo viligoma kuungana nao, walichukua mali za watu zikiwamo fedha na kuharibu mali zisizohamishika.

Hata hivyo, washtakiwa wakati wa utetezi walikana kuhusika kufanya matukio hayo.

Mahakama baada ya kusikiliza shauri hilo, ilijiridhisha kwamba upande wa Jamhuri umeweza kuthibitisha makosa dhidi ya washtakiwa bila kuacha shaka.

"Mahakama ilijiridhisha kuwa washtakiwa wote walikula njama kutaka kuipindua serikali iliyoko madarakani na walipata mafunzo.

"Kutokana na ushahidi ulioko, mahakama ilizingatia maombi ya washtakiwa kupunguziwa adhabu lakini kutokana na makosa waliyotenda, mahakama inawatia hatiani na kuwapa adhabu ya kutumikia kifungo cha miaka 20 kwa kosa la kwanza na miaka 30 kwa kosa la pili, adhabu zote zinakwenda kwa pamoja," alisema Jaji.

Mahakama iliwapa haki yao ya msingi kama hawakubaliani na adhabu wanaruhusiwa kukata rufani.

Chanzo: Nipashe
Mwananchi kaita ugaidi:

Sita jela miaka 30 kwa ugaidi

Which is which?
 
Hii case ni ya kutungwaa, na ni uongo mtupuuu, kuna kitu hapa kipo nyuma ya hii case.

Duuuuuh hatareeee.

Sent using Jamii Forums mobile app
6th sense only people can see like you.

Hapo hakuna kesi.
Kesi mara ugaidi, mara kupindua nchi, mara mauaji, mara uharibifu wa mali. Mimi sio mwanasheria lakini kwa hili nakataa.
 
Kama ni kweli wanahusika na madudu hayo, pongezi kubwa sana kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Bila kumsahau Mungu ambaye ndiye mlinzi mkuu wa Taifa hili TZ. Asante sana Bwana Yesu.
 
Kwa akili yako mtu mpaka afike ikulu ndio aonekane mhaini?..kitendo cha kupanga mipango ya kuangusha serikali na ikafahamika hata kama ulipangia kazuramimba..wewe una hatia.

#MaendeleoHayanaChama
Mbona hawakushtakiwa kwa kosa la uhaini?
 
Huwa wanaanzaga tararibu,mkichelewa ndo matokeo wanakuwa kundi kubwa sana la kigaidi kama alishabab,al queda,m23,boko haram.
Wakifikia hiyo stage wanapata wafadhili na kuanza kusumbua serikali..ndo vile unasikia mara wamevamia shule wamesomba wanafunzi na kuwateka,wamelipua soko nk
Na hapo unaambiwa kuna wengine hawajakamatwa wamefanikiwa kukimbilia msumbiji,so ni wengi.
Haya mambo sio ya kuchekea
Yote haya ni matatizo ya kuwepo haki katika nchi. Uchaguzi feki na watu kubambikiwa kesi
 
hii si ndio kama ileile iliyo kuwa kesi ya mwenyekiti wa Chadema Mbowe?! au zinatofautiana
 
Baada ya kuingia madarakani kwa kupora uchaguzi, sasa wanatengeneza consipirancy theories ili kutishia watu. Ni hivi, hakuna namna itafanyika zaidi ya machafuko ama kupindua nchi ili kuwatoa madarakani hawa wezi wa kura.
Huna akili we endelea kuolewa Ubelgiji tu
 
Back
Top Bottom