Songea to Mwanza: Mwamba katoa chuma na kaanzisha hii route

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Hakika ubora wa miundombinu ya barabara ikiwa mizuri hakuna kinachoshindikana.

Muda huu ni saa 22:30 basi la kampuni ya Super Feo limeondoka Singida kuelekea Jiji la miamba Mwanza.

Wale wadau wa usafirishaji mnaionaje na imekaaje hii..?

🧭 Yule anayetaka kujua umbali kwa mfumo wa picha nadhani hii ramani itakusaidia.


Zoom and fetch area you want.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…