PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Pia kuna route ya tanga - mtwara na mabus ya tashriff,maning nice inafanya Safar za kutoka Dodoma - mtwara na morogoro -mtwaraHakuna ila kuna mtwara - morogoro nadhan ni Maning Nice
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia kuna route ya tanga - mtwara na mabus ya tashriff,maning nice inafanya Safar za kutoka Dodoma - mtwara na morogoro -mtwaraHakuna ila kuna mtwara - morogoro nadhan ni Maning Nice
Hii route akitaka abiria wengi zaid aende moja kwa moja Arusha moshi iwe Kama kituo tuNimeongea na meneja wameweka nauliya 70,000 kwa kilometa hizo 1,400+
Pia Songea to Kilimanjaro inaanza leo tarehe 07.11.2021
Itakuwa Marekani [emoji16]Km 14,000 unakua unaenda wapi?
Mkuu kampuni mbovu ni Simba na Raha leo lakini Tashirfu na Burdani full manganyu ziko vizuri sana make mm ndo magari yangu huwa nayatumia kwa mwezi si chini ya mara 2Hakuna route yenye mabasi mabaya nchi hii Kama route ya Tanga Dodoma. Wafanyabiashara hawaoni hiyo fursa. Watu wanalazimika kupitia Arusha Kisha Dom kwa siku mbili kukwepa tu mabasi mabovu ya njia hiyo.
Unataka muda wa kufika?Angalia muda wa kuondoka.Duhuuuu Mwanza wataingia saa ngapi? Safari nduguuuu
Won't matter,at all!Fika salamaSongea Mwanza hiyo si itakuwa 48 hours hiyo
Songea to Kilimanjaro nauli shilngi ngapi?Nimeongea na meneja wameweka nauliya 70,000 kwa kilometa hizo 1,400+
Pia Songea to Kilimanjaro inaanza leo tarehe 07.11.2021
HakunaHivi kuna basi lifanyalo route ya Mtwara <> Kagera (Bukoba)?
Tashrif wameweka Youtong mpwa acha kuwafitiniaHakuna route yenye mabasi mabaya nchi hii Kama route ya Tanga Dodoma. Wafanyabiashara hawaoni hiyo fursa. Watu wanalazimika kupitia Arusha Kisha Dom kwa siku mbili kukwepa tu mabasi mabovu ya njia hiyo.
Km 14,000 unakua unaenda wapi?labda Khartoom
Yes, na Morogoro to Mtwara Baraka Classic.Na kuna mtwara - dodoma, Baraka Classic na mtwara - tanga, Tashriff
Pia kuna Mtwara-Dodoma.... Baraka ClassicHakuna ila kuna mtwara - morogoro nadhan ni Maning Nice
Hana basi ya Mbeya-Mwanza mkuu...Naona superfeo anataka kukimbiza maana Ana Songea To mwanza na Mbeya to Mwanza anaitafuta kanda ya ziwa taratibu baada ya kumaliza kusini
Mkuu wa Peramiho sijakuelewa aende vipi direct?.Hii route akitaka abiria wengi zaid aende moja kwa moja Arusha moshi iwe Kama kituo tu
Mbeya - mwanza naona hajjs ndo anahudumia huo upandeHana basi ya Mbeya-Mwanza mkuu...