Tychob
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 3,972
- 5,170
Kuna isamilo, premier etcMbeya - mwanza naona hajjs ndo anahudumia huo upande
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna isamilo, premier etcMbeya - mwanza naona hajjs ndo anahudumia huo upande
Majinja kashindwa nani ataweza??Majinja ile route yake ilikufa nadhani ya Mtwara - Dar- Mbeya
Wa kumbinga[emoji41]Super feo ni habari nyingine ana uthubutu kaanzisha route nyingi sana afu wengine wanafuata nakumbuka kipindi nasoma Dodoma nilikuwa napata shida kuunganisha magari kwenda home Mbinga kama kupitia Morogoro au Iringa then nipate gari ya Songea ila mbabe akatuanzisha route ya mojamoja toka Dom mpata Songea town ndipo wengine wakaona fursa.
Kigoma mbona imefunguka, Adventure, Saratoga, satco, Majinja, An Ramms, Takbir, NBS ni baadhi ya kampuni zinapiga kaziNauliza Gari ya Songea Arusha
Isamilo na premier piaMbeya - mwanza naona hajjs ndo anahudumia huo upande
Ipo siku nitajaribu safiri huo umbali just for leisureIla jamani safari ya km 1400 sio mchezo! Mimi km 800 sijui 900 huwa zinanichosha kishenzi.
Anapitia dodoma , kwa hiyo Arusha kinakuwa kituo cha njiani akielekea moshiHii route akitaka abiria wengi zaid aende moja kwa moja Arusha moshi iwe Kama kituo tu
Superfeo Imefika Mwanza saa saba dk 26 leo 07/11/2021Isamilo na premier pia
Umesafiri lini mara ya mwisho?Mwanza watafika kesho asubuhi kama singida wamepita 2200Hrs Shinyanga lazma wapigwe pin watalala hapo
Sayari ya Jupiter[emoji2][emoji2]Km 14,000 unakua unaenda wapi?
Aiseee hivi kama mtu ni mgeni huko Mbamba bay inakuwaje akiwasili? Hotel zipo karibu au ndo kukesha stendi?,,View attachment 2001727View attachment 2001728View attachment 2001729
Hii mbamba bay to dar,,,,,,dar tuliingia SAA 7 kamili usiku.
Hotel zipo,kupo vizuri ndiyo maana feo kawafanyia wepesi[emoji16]Aiseee hivi kama mtu ni mgeni huko Mbamba bay inakuwaje akiwasili? Hotel zipo karibu au ndo kukesha stendi?
Songea,,,,,mbinga,,,,mbambabay..nyasa,ziwa nyasa.Mbaba Bay ni wapi?
Alibadilisha route na katavi-Dar sasa hiviMajinja ile route yake ilikufa nadhani ya Mtwara - Dar- Mbeya