Unga unga na ndege tu.Hivi kuna basi lifanyalo route ya Mtwara <> Kagera (Bukoba)?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unga unga na ndege tu.Hivi kuna basi lifanyalo route ya Mtwara <> Kagera (Bukoba)?
Tamheed Kazi ya singasinga wa Master fabrication kenyaUmeweka picha ya vyuma vya Super Feo. Ziko wapi picha za Taheemed-Dar?
K-Vant zimeanza kufanya kazi?
Ok, ni vyuma kweli. Mwanzoni hukuweka picha nikadhani k-vant zimeanza kufanya kazi. Take it easy man!!!
K vant jion sio mchana huuOk, ni vyuma kweli. Mwanzoni hukuweka picha nikadhani k-vant zimeanza kufanya kazi. Take it easy man!!!
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]K vant jion sio mchana huu
Hiyo route inahitaji a special luxury bus, na kwa advancement hii, tuishauri serikali iondoe matuta yote barabara kuu kama ilivyo kwa kipande cha barabara cha Dodoma KondoaHakika ubora wa miundombinu ya barabara ikiwa mizuri hakuna kinachoshindikana.
Muda huu ni saa 22:30 basi la kampuni ya Super Feo limeondoka Singida kuelekea Jiji la miamba Mwanza.
Wale wadau wa usafirishaji mnaionaje na imekaaje hii..?
Walipata wapi teknolojia ya kuunda mabodi mazuri.
Iko wilaya ya Nyasa mkoa wa ruvumaMbaba Bay ni wapi?
Superfeo Imefika Mwanza saa saba dk 26 leo 07/11/2021
Hakuna kampuni ya mabus inayounda Injini.Walipata wapi teknolojia ya kuunda mabodi mazuri.
Ina maana wakiwekeza kwenye injini fubrication wanaweza shindana na youtong buss.
Majinja ni mzoefu wa route ndefu sasa hivi anayo ya katavi-dar na ameimudu
Sijawafitinia kiongozi, nimewasahauri waone fursa. Labda Kama wameweka hivi karibuni maana nimetoka Dom wiki mbili zilizopita na Kampuni fulani sitaitaja wasijesema nawaharibia biashara. Mabasi mabovu sana aiseeTashrif wameweka Youtong mpwa acha kuwafitinia
Mwambie manager Songea to Kilimanjaro hapo hawajajiongeza maana wangemalizia tu mpaka Arusha.Nimeongea na meneja wameweka nauliya 70,000 kwa kilometa hizo 1,400+
Pia Songea to Kilimanjaro inaanza leo tarehe 07.11.2021
Sasa umeisha ona body ya waganda ya kiira motor? Sahv Africa mashariki tunajitaidi kwenye kuunda bodyWalipata wapi teknolojia ya kuunda mabodi mazuri.
Ina maana wakiwekeza kwenye injini fubrication wanaweza shindana na youtong buss.
Wameshajibu huko nyuma nauli 70,000 safari ya masaa 19 hivi manake kuna mwamba kasema imefika mwanza saa saba, I hope ilitoka songea saa 06:00Bei gani Mwanza Songea na masaa mangapi
Macopolo wapo vizuri sana ndie anaweza chuana na mchina kwenye luxuriy na comfortabilityWameshajibu huko nyuma nauli 70,000 safari ya masaa 19 hivi manake kuna mwamba kasema imefika mwanza saa saba, I hope ilitoka songea saa 06:00