Mama Pasco
JF-Expert Member
- Nov 3, 2021
- 453
- 446
Kazi nzuri hongera kwakeHakika ubora wa miundombinu ya barabara ikiwa mizuri hakuna kinachoshindikana.
Muda huu ni saa 22:30 basi la kampuni ya Super Feo limeondoka Singida kuelekea Jiji la miamba Mwanza.
Wale wadau wa usafirishaji mnaionaje na imekaaje hii..?
🧭 Yule anayetaka kujua umbali kwa mfumo wa picha nadhani hii ramani itakusaidia.
Zoom and fetch area you want.
View attachment 2003845
Tulipita ya moro iringa,songea saa 2Dar Songea ukipitia njia ya huku kusini Lindi /mtwara sio mbali sana na hakuna msongamano wa magari kama ukipitia hii ya kati, moro,iringa, njombe.
Ni kweli,nilipitaga hiyo lindi, songea tulifika saa 6,mbinga saa 8 Super feoUkipita lindi kwenda songea ni mbali zaidi kwani zinaongezeka kilometer kalibia 100 tofauti na njia ya iringa. Sema njia ya lindi ni tambalale milima unakuja kuikuta mchomoro huko wilaya ya namtumbo
Itakuwa poa sanaNamtumbo- Sumbawanga,pia akiweza aweke Sumbawanga-Dodoma na Mbeya-Mpanda-Kigoma.
Duh, Mdau siku nyingine ukienda mbamba bay nistue inbox uniletee wale samaki wanaofanana na kambale ila wao watamu balaa,,,wanaitwa mbufu, nitashukuru nimekuwa mbamba bay kitambo miaka hiyo nasikia siku hizi hadi kuna taa za barabarani, maisha yanaenda kasi sana,,View attachment 2001727View attachment 2001728View attachment 2001729
Hii mbamba bay to dar,,,,,,dar tuliingia SAA 7 kamili usiku.
Karibu mbamba bay,Duh, Mdau siku nyingine ukienda mbamba bay nistue inbox uniletee wale samaki wanaofanana na kambale ila wao watamu balaa,,,wanaitwa mbufu, nitashukuru nimekuwa mbamba bay kitambo miaka hiyo nasikia siku hizi hadi kuna taa za barabarani, maisha yanaenda kasi sana
Bado hiyo kilwa road haina ajali nyingi pamoja na askari kutokuwepo wengi,hapa kuna funzo kwamba askari anapolichelewesha basi kama adhabu ajue huo muda lazima ufidiwe.Ni sahihi, hata maofisa usalama barabarani si wengi kama ile ya iringa
Hivi kwa nini kusiwe na Morogoro vs njombe ingekuwa Raisi sanaNamtumbo- Sumbawanga,pia akiweza aweke Sumbawanga-Dodoma na Mbeya-Mpanda-Kigoma.
Rahisi msahihishoHivi kwa nini kusiwe na Morogoro vs njombe ingekuwa Raisi sana
Ilikuwepo songea to sumbawanga lakini sasahivi haipoItakuwa poa sana
Wandendeule ni kabila?Wangoni
Wamatengo
Wamanda
Wanyasa
Kuna Dar Njombe kupitia Moro mkuuHivi kwa nini kusiwe na Morogoro vs njombe ingekuwa Raisi sana
Za kuambiwa changanya na zako, in Jakaya's voiceSi tuliambiwa ndege zimenunuliwa, tusafiri kwa ndege tufike mapema.....imekuwaje tena safari ya masaa 24.
Kipande cha lami cha Mpanda Tabora kimeisha?Namtumbo- Sumbawanga,pia akiweza aweke Sumbawanga-Dodoma na Mbeya-Mpanda-Kigoma.
TayariKipande cha lami cha Mpanda Tabora kimeisha?
Ndiyo,ni watu wa namtumboWandendeule ni kabila?
HAKUNAHivi kuna basi lifanyalo route ya Mtwara <> Kagera (Bukoba)?
Kimebaki kidogo mnoKipande cha lami cha Mpanda Tabora kimeisha?