Macopolo wapo vizuri sana ndie anaweza chuana na mchina kwenye luxuriy na comfortabilit
Ni hesabu tuBIla shaka ni zile scania mpya ndo zinampa jeuri, .... Sasa mtu anasema zongtong gari Kali achen mzaa , scania ineshindkana, ... Route zote nzito inapewa scania... Dar Lubumbashi, dar Nairobi, hata mahari ya bushi huko makete na lupembe ni scania tupu
Unamsimfia Mwanaume mwenzio, huoni aibu. Tafuta pesaHakika ubora wa miundombinu ya barabara ikiwa mizuri hakuna kinachoshindikana.
Muda huu ni saa 22:30 basi la kampuni ya Super Feo limeondoka Singida kuelekea Jiji la miamba Mwanza.
Wale wadau wa usafirishaji mnaionaje na imekaaje hii..?
Ni Mwenge kweli ila ipo kata ya Kijitonyama na ofisi za kata zipo karibu na kituo cha polisi Mabatini au uwanja wa bora.Although mimi siishi huko nimepita tu, wewe unayeifahamu umeweka sawa ni vyema, mbona hayo mengine hujasema kama nadanganya?.
Siko hapa kudanganya, naandika kulingana na ninavyofaham mdogo wangu.
Na sidhani kama mwenge kuna mtaa wa namna hiyo, maana kuanzia pale kituo cha itv kuzunguka kanisa la wasabato unakuja mpaka magorofa ya jeshi kule jirani na mamaland zamani au afrika sana and come close to bodi ya mikopo, yote hiyo ni mwenge
Aàah sana...Ni hesabu tu
Scania wanatoa warranty nzuri sana wanapokuuzia kifaa kipya , kama sikosei km 300,000 au miaka mitatu, whichever comes first
Feo hajawahi miliki basi ya scania nafikiri idea ya kununua hizi basi ni ili aweze ku zi push to the limit ilhali akiwa ana enjoy security ya warrant,
Ukicheza kamali kama hii na basi ya kichina lazima upotee kwenye game
Sauli ana sufuria za Gemilang sura dume
Hasara za matutaWHY?, Kwanza sehemu yoyote yenye matuta barabara inaharibika sana sababu ya nguvu kubwa inayotumika kwa magari makubwa kupunguza mwendo, fuatilia sehemu zote zenye matuta utaona lami ina mimba au crakes.
Kumbafu Sana nyie wadwanzi mnajua mambo mengi hivi mnalala kweli dahNi hesabu tu
Scania wanatoa warranty nzuri sana wanapokuuzia kifaa kipya , kama sikosei km 300,000 au miaka mitatu, whichever comes first
Feo hajawahi miliki basi ya scania nafikiri idea ya kununua hizi basi ni ili aweze ku zi push to the limit ilhali akiwa ana enjoy security ya warrant,
Ukicheza kamali kama hii na basi ya kichina lazima upotee kwenye game
🤣😀😅😂Ila sasa baadaye nikaona hawa hawa madereva wetu nusu mtu nusu robot hawataweza kufuata sheria itakuwa ni mantanange sehemu zenye vijiji na miji wanapotakiwa kwenda 50.
Ule mwendo wa SuperFeo kwenye tuta Ni balaa tupu dereva ananyoosha mguu balaa yaan ukiingia ndani ya gari aga kabisa kwenuHasara za matuta
- Yanaharibu sana barabara
- Yanaongeza sana fuel consumption
- Yanaharibu sana tyres
- Yanadhoofisha bolts na nuts
- Yanachelewesha safari
- Yanasababisha ajali nyingi njiani
Wengi wametegukia viuno humoUle mwendo wa SuperFeo kwenye tuta Ni balaa tupu dereva ananyoosha mguu balaa yaan ukiingia ndani ya gari aga kabisa kwenu
Mbamba bay to kyela?? Tangu lini?Mbamba bay to dar
Mbamba bay to kyela
Songea to mwanza
Mambo ni moto
Sio kweli, kuna route gari zinalala njiani,Umesafiri lini mara ya mwisho?
Magari sasa yanasafiri 24hrs
Superfeo/selous kaanzisha hiyo route via Kondoa, Arusha to Moshi. Nafikiri itaanza karibuni ila matangazo tayari yapo. Kuna mmemba kasema wameanza leo. Desemba hii wachanga watakamua sanaNauliza Gari ya Songea Arusha