BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Sure mji mdogo ule[emoji23][emoji23]umeona eeeh ka mbinga kadogooo[emoji23]sahizi ni kubwaaa,hule msitu tu wa shule yenu hawaukati[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure mji mdogo ule[emoji23][emoji23]umeona eeeh ka mbinga kadogooo[emoji23]sahizi ni kubwaaa,hule msitu tu wa shule yenu hawaukati[emoji23]
Ndiyo[emoji23],Sure mji mdogo ule
Leo niko happy kugundua kuwa nipo na ndugu zangu wa Mbinga Mbinguni. Nishamiss home nikigeuka lazima nikuvisitNdiyo[emoji23],
Dagaa nyasa hazilali ni cku 1 zinaliwa darLeo niko happy kugundua kuwa nipo na ndugu zangu wa Mbinga Mbinguni. Nishamiss home nikigeuka lazima nikuvisit
Nimefrahi pia,yaani[emoji23]nenda ukale maembe ya nyasa yameivaLeo niko happy kugundua kuwa nipo na ndugu zangu wa Mbinga Mbinguni. Nishamiss home nikigeuka lazima nikuvisit
Saa hivi zinakuja mpaka Rock city shukrani kwa Msigwa.Dagaa nyasa hazilali ni cku 1 zinaliwa dar
Wale waliopo nyasa watutumie embe c ndo msimu wake huuNimefrahi pia,yaani[emoji23]nenda ukale maembe ya nyasa yameiva
Sasa huko nakula dagaa, vitui, liganda na linguku nikishiba naenda kupata upepo wa ziwa joto likizidi navua nguo naogeleaNimefrahi pia,yaani[emoji23]nenda ukale maembe ya nyasa yameiva
[emoji23][emoji23][emoji23] likungu co linguku mzeeSasa huko nakula dagaa, vitui, liganda na linguku nikishiba naenda kupata upepo wa ziwa joto likizidi navua nguo naogelea
[emoji23][emoji23][emoji23]sahizi kuna kambundi,unawapata[emoji23]vile vidagaa vidogo vidogoSasa huko nakula dagaa, vitui, liganda na linguku nikishiba naenda kupata upepo wa ziwa joto likizidi navua nguo naogelea
Yah mkuu likungu typing error[emoji23][emoji23][emoji23] likungu co linguku mzee
Wale watoto wa dagaa[emoji23][emoji23][emoji23]sahizi kuna kambundi,unawapata[emoji23]vile vidagaa vidogo vidogo
Ndiyo wanaliwa balaa,wakubwa hawapatikanWale watoto wa dagaa
Nikienda ntawabebeen na likunguNdiyo wanaliwa balaa,wakubwa hawapatikan
Mmmh likungu siliwezi asee[emoji23],eti likungu ni mkusanyiko wa wadudu[emoji23]Nikienda ntawabebeen na likungu
Eeh mkusanyiko wa mbu,mende, na wadudu wengneMmmh likungu siliwezi asee[emoji23],eti likungu ni mkusanyiko wa wadudu[emoji23]
likungu linawekwa mixer na karanga sasa hapo ma Food monger tunamaliza hata kilo ya ugaliMmmh likungu siliwezi asee[emoji23],eti likungu ni mkusanyiko wa wadudu[emoji23]
Khaaaaa! Mnakulaje vile[emoji23]yaani sijawahi hata kujalibu kulaEeh mkusanyiko wa mbu,mende, na wadudu wengne
Mmmmmh mwenzenu siliwezi[emoji23]likungu linawekwa mixer na karanga sasa hapo ma Food monger tunamaliza hata kilo ya ugali
Ni mkusanyiko wa wadudu ila sio hao uliowasemaEeh mkusanyiko wa mbu,mende, na wadudu wengne