FrankMakeps
Member
- Apr 1, 2013
- 96
- 81
Eeh mbinga mjnMbicu mbinga mjini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh mbinga mjnMbicu mbinga mjini?
Kikwete alikua RaisSio kikwete
Sipingi tenaMkuu Afrika kusini ni nchi iliyotuzidi mambo mengi sana but hata kule mabasi yanayotoka Zambia ni mengi na wengi wanatumia kuliko ndege.
Ila nakushauri waachie watu usafiri wao.
Mtwara -Dom BARAKA CLASSICHakuna ila kuna mtwara - morogoro nadhan ni Maning Nice
Pamoja kiongoziEeh mbinga mjn
Mtwara Morogoro-DodomaHakuna ila kuna mtwara - morogoro nadhan ni Maning Nice
Samahani mkuu!Naendelea kujifunza tatizo la elimu linawasumbua vijana wengi sana.
Sijui kama umenielewa reply yangu kulingana na ulichoandika, vinginevyo una tatizo la kuelewa.
Nimeuliza arusha to songeaKigoma mbona imefunguka, Adventure, Saratoga, satco, Majinja, An Ramms, Takbir, NBS ni baadhi ya kampuni zinapiga kazi
Superfeo/selous kaanzisha hiyo route via Kondoa, Arusha to Moshi. Nafikiri itaanza karibuni ila matangazo tayari yapo. Kuna mmemba kasema wameanza leo. Desemba hii wachanga watakamua sai
Imekaa vizuri sana hiyo route maana kulikua na changamoto sana mpaka uungeSuperfeo/selous kaanzisha hiyo route via Kondoa, Arusha to Moshi. Nafikiri itaanza karibuni ila matangazo tayari yapo. Kuna mmemba kasema wameanza leo. Desemba hii wachanga watakamua sana
Safari ndefu sana hiiTangazo lao hiliView attachment 2002444
Anaweka choo cha haja ndogo na leg room inapunguaMchina anafnya custumization vile unatka mteja ndo mana BM na Kidia zina maliwato japo ni haja ndogo tu sio mbaya
Yap double decker ndo njia sahihi ya kusafiri kwa route zilizo tight , Dar moro , au mwanza sirari , mwanza musoma zilitakiwa ziwe na bus za duoble deck, katika configuration ya kawaida kabisa double deck zinabeba hadi abiria 70.Zikibadirishwa wenda tukaanza kuziona na double decker zikiingia nchini
Sheria nyingi za Tanroad zilitungwa wakati "the late" akiwa waziri wa ujenzi, either alikuwa miss informed au aliamua tu kukomoa watu, na bahati mbaya Bunge halikuweza kujadili miswada ya wizara ya ujenzi kabla haijawa sheria .zimetungwa na waduanzi pro max 😀😀
Samahani mkuu!
Inawezekana sikukuelewa ulichokusudia!
Unaweza kunielewesha pia kama hautajali..
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Huyu atakuwa wa Singida naona watu wanachanganywa na hivyo vituo vya magari
Nimemalizia na sio mbaya hata hizi haja ndogo kuliko kukosa kbs ndo nilichomaanishaAnaweka choo cha haja ndogo na leg room inapungua
Marcopolo 2010 , south african world cup version, zilikuwa na choo cha haja zote ,maliwato yenye maji moto na baridi , pamoja na legroom ya kutosha , with seating capacity ya abiria 56 .
Mtwara- DomHakuna ila kuna mtwara - morogoro nadhan ni Maning Nice
Kama ni Scania atafanya vema lakini kama ni Yotong atapotea mapema, Nasubiria wababe waanzishe Route ya Arusha-Mtwara, Arusha- Songea, Mtwara-MwanzaHakika ubora wa miundombinu ya barabara ikiwa mizuri hakuna kinachoshindikana.
Muda huu ni saa 22:30 basi la kampuni ya Super Feo limeondoka Singida kuelekea Jiji la miamba Mwanza.
Wale wadau wa usafirishaji mnaionaje na imekaaje hii..?
Mdau nina wasiwasi jamaa alifanya madudu huko sasa ili kuepuka kubanwa ngoja atunge sheria za ovyo....Sheria nyingi za Tanroad zilitungwa wakati "the late" akiwa waziri wa ujenzi, either alikuwa miss informed au aliamua tu kukomoa watu, na bahati mbaya Bunge halikuweza kujadili miswada ya wizara ya ujenzi kabla haijawa sheria .
Semi trailers za south africa zinaishia Tunduma kwa ajili ya sheria zetu.