Ntate Mogolo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2016
- 410
- 705
Hawa jamaa wanabebesha mimba watoto wa watu na kisha kutekekeza watoto wao!Hii taarifa nafikiri ipo nusu nusu ila pia mpaka raia kufikia walichokifanya kimechagizwa na chuki iliota kwa muda mrefu baina ya viongoz wa kiroho na watu wa kawaida.
Kuna muda baadhi ya mapadri/viongozi wa kiroho wamekuwa wakijisahau na kuonyesha madhaifu yao wazi wazi.
Kanisa lijifunze kwa tukio hili dogo ilikuendelea kuleta umoja lasivyo mambo yatakuwa magumu sana mbeleni
Jingaz sana hao jamaa! Halafu si watakuja kulijenga wenyewe bure kwa mpango wa kujitolea??wamekosea sana kuchoma nyumba ya ibada.
maana hiyo sio nyumba ya Padre.
JNi kosa kujichukulia sheria mkononi.
ni bora wangemtenga Padre kwa kususia kwenda kanisani badala ya kuchoma.
Alafu ukute wahuni wa mtaa ndiyo walikua mbele ambao hawaoni uchungu wa michango yao ya ujenzi😂😂Padre alikataa kwenda kumzika muuamini (sababu bado haijajulikana), waumini wamezika baada ya kumaliza kuzika wakaenda Parokiani wakachoma kanisa kwa hasira.
View attachment 2016428
Hilo ni kosa padri akifanya hivyo inabidi asaidiane na mwenzake kulea kama kawaida na endapo mdada akipigwa mimba na uhakika ni ya padre anapaswa kufika kwa dekano au paroko wa parokia jirani kuelezea tukio iliutaratibu wa kusimamia malezi ya mtoto ufwate ....Hawa jamaa wanabebesha mimba watoto wa watu na kisha kutekekeza watoto wao!
Ni nani wa kumfunga paka kengele?Ari na nguvu hii ikitumika kuiondoa CCM madarakani tutaweza.
Bubu alipozidiwa aliongea wewe.Ni nani wa kumfunga paka kengele?
RC tunaowafahamu sote wamefikia hatua hiyo!!! Yaani waunguze kanisa na sanamu ya bikira maria ndani!!! Sitakaa niamini kama hao ni wakatolikiPadre alikataa kwenda kumzika muuamini (sababu bado haijajulikana), waumini wamezika baada ya kumaliza kuzika wakaenda Parokiani wakachoma kanisa kwa hasira.
View attachment 2016428
Nimemsikia mwanamke akisema Kibambobambo "...nyumb ya kwet tuntesek!! Haiwezkan ban..."Padre alikataa kwenda kumzika muuamini (sababu bado haijajulikana), waumini wamezika baada ya kumaliza kuzika wakaenda Parokiani wakachoma kanisa kwa hasira.
View attachment 2016428
Kama marehemu alikuwa mwanamme huenda alinkwaza paroko hukooooo ntaani na kama alikuwa mwananke huenda alinkataa parokoDuu!!! Mleta mada tusaidie kujua sababu za baba Paroko kugoma kuendesha ibada ya mazishi ili tutoe maoni yetu.
Inategemeana na mambo wanayowahubiria, yakiwaingia sana ndiyo hayohayo yanageuka kichocheo cha yaliyotokeaBinadamu ni wajinga sana. Sasa Padre au shekhe kumzika mtu kuna faida gani?
Rc inapoteza ushawishi kila uchaoRC tunaowafahamu sote wamefikia hatua hiyo!!! Yaani waunguze kanisa na sanamu ya bikira maria ndani!!! Sitakaa niamini kama hao ni wakatoliki
Hii haijakaa vizuri kabisa kama ni kweli lakini.Kama marehemu alikuwa mwanamme huenda alinkwaza paroko hukooooo ntaani na kama alikuwa mwananke huenda alinkataa paroko
Tatizo kanisa halina poloc,tiss,jwtzAri na nguvu hii ikitumika kuiondoa CCM madarakani tutaweza.
Issue sio michango, watu wamejenga kanisa kuwasaidia changamoto zao za kiroho linapokuwaAlafu ukute wahuni wa mtaa ndiyo walikua mbele ambao hawaoni uchungu wa michango yao ya ujenzi😂😂
Hapo kwenye watu wenye influence umenikumbusha mzee Kingunge RIP.Sababu kuu ni pesa!! Kanisa limekuwa na muelekeo wa kipesa zaidi kuliko ibada . Kuna michango mingi sana na mingine imehamishiwa kwenye jumuiya kwa lengo la easy monitoring.
Mfumo huu unachagua sana watu , watu wenye influence wanazikwa hadi na maaskofu hata kama walikuwa hawakanyagi kanisani, nina mifano kadhaa kwa hilo ,
On a serious note, swala la
Kutimiza au kutotimiza masharti ya kanisa mtoa hukumu ni mwenyezi Mungu , sio padri au die hard pilgrims, Rc mmejipa majukumu ya kimungu kwa watu wanoondoka hapa duniani.
Mapadre siku hizi ni machakaramu sanaHii haijakaa vizuri kabisa kama ni kweli lakini.
Kabisa mkuu, hawa ndiyo waliokuwa wamekaki kama kioo cha ukristo lakini wamekuwa wahuni kuliko wahuni, sijui hata kama hicho kitubio kitazaa matundaRc inapoteza ushawishi kila uchao