Songoro Marine waanza kuisoma namba, wanyimwa kazi ya Kivuko cha Magogoni

Songoro Marine waanza kuisoma namba, wanyimwa kazi ya Kivuko cha Magogoni

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Songoro Marine ndio kampuni pekeee (local) iliyokuwa inapewa tenda za kutengenza meli na vivuko kila mahali nchini Tanzania (sijui walikuwa wanatumia mbinu gani)

Songoro Marine Mkazi wa Ilemela Mkoani Mwanza, ndiye aliyepewa kazi ya kutengeneza Meli mbili za Ziwa Nyasa, ambazo zilirudishwa gereji baada ya kunusurika kuua abiria wake, mara tu baada ya matengenezo.

Huyu kwa sasa ni Marehemu baada ya kufariki kwa kilichosemekana ni Ugonjwa wa moyo huko Mbeya, lakini kampuni yake ingali inafanya kazi za meli na vivuko nchini Tanzania.

Lakini leo twaambiwa kwamba amenyimwa kazi ya Kivuko cha Kivukoni na ikapewa kampuni ya Kenya, Kweli bila Koneksheni mambo huwa magumu sana! Leo kampuni iliyopewa kazi bila hata kuandika barua ya maombi na wala bila kushindanishwa na yeyote inanyimwa kazi.

Ama kweli KILA AWAMU NA MAMBO YAKE.
 
Tenda za kipigaji TU,
Haiingii akilini kivuko kile kile kilipokua kipya kilijengwa kwa bil 8.5.

leo Hii kivuko kile kile kimechakaa eti Kikarabatiwe kwa bil. 7.5

Ujinga wa wapi huu,
si Bora tu urudi dukan ukanunue kipya

SIJUI ALIETUROGA NANI[emoji3525]
JamiiForums-627413113.jpg
 
Songoro Marine ndio kampuni pekeee ( local ) iliyokuwa inapewa tenda za kutengenza meli na vivuko kila mahali nchini Tanzania ( sijui walikuwa wanatumia mbinu gani )

Songoro Marine Mkazi wa Ilemela Mkoani Mwanza , ndiye aliyepewa kazi ya kutengeneza Meli mbili za Ziwa Nyasa , ambazo zilirudishwa gereji baada ya kunusurika kuua abiria wake , mara tu baada ya matengenezo .

Huyu kwa sasa ni Marehemu baada ya kufariki kwa kilichosemekana ni Ugonjwa wa moyo huko Mbeya , lakini kampuni yake ingali inafanya kazi za meli na vivuko nchini Tanzania .

Lakini leo twaambiwa kwamba amenyimwa kazi ya Kivuko cha Kivukoni na ikapewa kampuni ya Kenya , Kweli bila Koneksheni mambo huwa magumu sana ! Leo kampuni iliyopewa kazi bila hata kuandika barua ya maombi na wala bila kushindanishwa na yeyote inanyimwa kazi !

Ama kweli KILA AWAMU NA MAMBO YAKE .
Eti wewe ni Mwana Chadema unayefikiria siku moja chama chako eti kitawale Tanzania wakati unasifia Mtanzania mwenzako kunyimwa kazi/ tenda na kupewa mtu wa nchi jirani. Upumbavu kabisa huu!!
 
Songoro Marine ndio kampuni pekeee ( local ) iliyokuwa inapewa tenda za kutengenza meli na vivuko kila mahali nchini Tanzania ( sijui walikuwa wanatumia mbinu gani )

Songoro Marine Mkazi wa Ilemela Mkoani Mwanza , ndiye aliyepewa kazi ya kutengeneza Meli mbili za Ziwa Nyasa , ambazo zilirudishwa gereji baada ya kunusurika kuua abiria wake , mara tu baada ya matengenezo .

Huyu kwa sasa ni Marehemu baada ya kufariki kwa kilichosemekana ni Ugonjwa wa moyo huko Mbeya , lakini kampuni yake ingali inafanya kazi za meli na vivuko nchini Tanzania .

Lakini leo twaambiwa kwamba amenyimwa kazi ya Kivuko cha Kivukoni na ikapewa kampuni ya Kenya , Kweli bila Koneksheni mambo huwa magumu sana ! Leo kampuni iliyopewa kazi bila hata kuandika barua ya maombi na wala bila kushindanishwa na yeyote inanyimwa kazi !

Ama kweli KILA AWAMU NA MAMBO YAKE .
Uko Kenya Kuna watu washaweka cha juu!
 
Songoro Marine ndio kampuni pekeee ( local ) iliyokuwa inapewa tenda za kutengenza meli na vivuko kila mahali nchini Tanzania ( sijui walikuwa wanatumia mbinu gani )

Songoro Marine Mkazi wa Ilemela Mkoani Mwanza , ndiye aliyepewa kazi ya kutengeneza Meli mbili za Ziwa Nyasa , ambazo zilirudishwa gereji baada ya kunusurika kuua abiria wake , mara tu baada ya matengenezo .

Huyu kwa sasa ni Marehemu baada ya kufariki kwa kilichosemekana ni Ugonjwa wa moyo huko Mbeya , lakini kampuni yake ingali inafanya kazi za meli na vivuko nchini Tanzania .

Lakini leo twaambiwa kwamba amenyimwa kazi ya Kivuko cha Kivukoni na ikapewa kampuni ya Kenya , Kweli bila Koneksheni mambo huwa magumu sana ! Leo kampuni iliyopewa kazi bila hata kuandika barua ya maombi na wala bila kushindanishwa na yeyote inanyimwa kazi !

Ama kweli KILA AWAMU NA MAMBO YAKE .
Uzalendo umewaponza
 
Back
Top Bottom