mhuri25
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 2,780
- 3,733
Wewe mjane akili waga huna kabisa narudia tena WIVU+CHUKI+CHADEMA+GENYE zitakuua, Badala ulete thread fikirishi kwanini tunatumia kiasi kinachokaribiana na bei ambayo kivuko kile kile kilinunuliwa kwanini tusinunue kingine tu wewe unaleta hoja zakipimbipimbi tu ambazo kwa jicho tu la kawaida tunang'amua hivyo vitu vinne ndio vinakusumbua!!Hatuhangaiki na waliokufa