Songwe: Baba agoma kupeleka mwanaye kidato cha kwanza akidai hana akili na Shuleni Wanafunzi wanachapwa sana viboko

Songwe: Baba agoma kupeleka mwanaye kidato cha kwanza akidai hana akili na Shuleni Wanafunzi wanachapwa sana viboko

Akishasema bosi wenu, hata kama ni ujinga! Basi ni lazima muunge mkono! Unataka uniambie Watanzania wote waliofanikiwa katika nyanja mbalimbali mfano michezo, sanaa, uimbaji, ufundi, nk wamesoma mpaka kidato cha nne na kuendelea?

Au hayo mafanikio yao yametokana na hii elimu yetu ya kukaririshana? Mbona nyinyi watu ni wakaidi sana? Au mna ajenda yenu ya siri ya kutaka kuendelea kuwatawala Watanzania kupitia mfumo wenu mbovu wa elimu?
Well said elimu ya ufundi ina maana kubwa kuliko hii kwenda kupoteza muda
 
Wewe hiyo form four yako imekusaidia nini? kuna fundi anakosa kazi? acha kukariri mkuu
Ufundi ni mzuri sana kama mtu ataenda akiwa ameshamaliza form four au form six.By the way umejuaje kuwa mtoto Happy ataishia tu form four na hataendelea hadi chuo kikuu awe rubani?
 
Ufundi ni mzuri sana kama mtu ataenda akiwa ameshamaliza form four au form six.By the way umejuaje kuwa mtoto Happy ataishia tu form four na hataendelea hadi chuo kikuu awe rubani?
Baba ake amesema hana akili za darasani, acha kukariri maisha. Form four/six kuna nini cha maana pale zaidi ya kukariri?
 
Baba ake amesema hana akili za darasani, acha kukariri maisha. Form four/six kuna nini cha maana pale zaidi ya kukariri?
Sasa umejuaje kuwa alichoongea Baba ni ukweli?Na kama Baba anataka ale mahari ili mtoto Happy aolewe je?Inawezeka Baba anasingizia kuwa mtoto hana akili kwa sababu maybe ana malengo mengine na mtoto Happy kama vile kumuozesha.
 
Sasa umejuaje kuwa alichoongea Baba ni ukweli?Na kama Baba anataka ale mahari ili mtoto Happy aolewe je?Inawezeka Baba anasingizia kuwa mtoto hana akili kwa sababu maybe ana malengo mengine na mtoto Happy kama vile kumuozesha.
Wewe ndiyo una malengo sasahihi kuliko baba ake?
 
Huyo mzazi huenda kutokujua lakini alipaswa kuadhibiwa sababu sheria inasema kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha nne hiyo ni elimu ya msingi hivyo kila mtanzania ana wajibu wa kupata pasipo na kikwazo chochote kile.
Pendekeza utatuzi wa changamoto ya viboko maana ya DC hajazungumzia tatizo la msingi-viboko
 
Unafahamu huo umri aliomaliza nao?? Fikilia awe amemaliza std 7 na miaka 13, huyu ataweza kusukuma chelehani au anaweza kubeba tofali au kusukuma landa au msumeno?? Watoto wanamaliza na umri mdogo saanaa. Na hili suala wizala ya elimu walitizame upyaa.
Miaka ileeeee ya '70 ukiingia darasa la tano - maarufu kama"Middle school" tulifunzwa Useremala, Sayansi Kimu (upishi, udobi, ushonaji na usafi), Kilimo na ufugaji.

Mimi niliingia nikiwa na miaka 11. Hadi leo natamba kwa ujuzi huo.
Hata uendeshaji bora wa maisha yangu umejikita hapo.

Iwapo unafuatilia vema masuala ya elimu, miaka ya karibuni baadhi ya wazazi na vijana hawataki elimu ya sekondari ya juu (kidato cha tano).
Wanapendelea zaidi kujifunza ujuzi/ufundi.
Wanaamua kujiunga na vyuo badala ya kuhitaji umaarufu wa kusoma sekondari ya juu.

Wazo la kusoma stadi baada elimu ya msingi halina nguvu kwa kuwa tunahitaji maarifa mengi zaidi kabla ya kuwa mahiri katika ujuzi.
Hata hivyo tusipuuze wanaowaza kusoma elimu ya ufundi badala ya elimu ya sekondari.
 
Huyo mzazi huenda kutokujua lakini alipaswa kuadhibiwa sababu sheria inasema kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha nne hiyo ni elimu ya msingi hivyo kila mtanzania ana wajibu wa kupata pasipo na kikwazo chochote kile.
Hapana.kama ni elimu ya msingi.kwanini pawe na mtihani wa mchujo?za kuambiwa ongeza na zako mzee baba
 
Igima sekondari inapokea form one zaidi ya 200.wanahitimu 70+.dc hatafiti hawa wanafunzi wanapotelea wapi.shule tajwa hapo juu wanapiga sana.ili watoto waache shule.wabaki na watoto wachache.vyumba vya maabara ndo hutumika kuadhibu.na vinaitwa goligotha.logic ya mzee ni sahihi.madc wetu ni remote.dc angechunguza badala ya kutumia nguvu angepata ukweli
 
Unasoma hadi chuo kikuu kisha unakua na daftari laa madeni Dukani kwa Mangi ambaye ni standard seven.....si ukichaa huu?

Au ni PhD holder halafu unaamrishwa na mbunge ambaye ni form four failure au standard four kama Sanga
 
Miaka ileeeee ya '70 ukiingia darasa la tano - maarufu kama"Middle school" tulifunzwa Useremala, Sayansi Kimu (upishi, udobi, ushonaji na usafi), Kilimo na ufugaji.

Mimi niliingia nikiwa na miaka 11. Hadi leo natamba kwa ujuzi huo.
Hata uendeshaji bora wa maisha yangu umejikita hapo.

Iwapo unafuatilia vema masuala ya elimu, miaka ya karibuni baadhi ya wazazi na vijana hawataki elimu ya sekondari ya juu (kidato cha tano).
Wanapendelea zaidi kujifunza ujuzi/ufundi.
Wanaamua kujiunga na vyuo badala ya kuhitaji umaarufu wa kusoma sekondari ya juu.

Wazo la kusoma stadi baada elimu ya msingi halina nguvu kwa kuwa tunahitaji maarifa mengi zaidi kabla ya kuwa mahiri katika ujuzi.
Hata hivyo tusipuuze wanaowaza kusoma elimu ya ufundi badala ya elimu ya sekondari.
Kwa Tanzania compasary education ni std 7. Secondary ni competitive na sio lazima mtu kwenda secondary, kwamaana hiyo mtu akihitimu std 7 inatoshaa. Kwahali hiii sasa serikali inatakiwa kuchunguza umri wa kuanza darasa la kwanza, kwakuwa watoto hawa siku izi wanamaliza compasary education wakiwa na umri mdogo saaana ambao kihalisia siomsaada kwa kazi za ujenzi wa taifa.
 
Back
Top Bottom