Pre GE2025 Songwe: Katibu wa CCM avamiwa na watu wasiojulikana na kuvunjwa miguu yote miwili

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuna uwezekano ni inside job
 
Kama alikua anatekeleza maagizo yasiyokua ya haki ilitakiwa ulinzi uimarishwe kwake na kwa watu wake wa karibu ili asikumbwe na dhahama kama hizo.
 
Kibao kutekwa na kuuwawa ni sawa, katibu kuvunjwa miguu eti haikubaliki, Mama mitano Tena 😀🤣🤣😀😀😀
 
Ccm hao mambo ya makundi na teuzi
 
Mpaka waseme!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…