Pre GE2025 Songwe: Katibu wa CCM avamiwa na watu wasiojulikana na kuvunjwa miguu yote miwili

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Visasi vya Kura za maoni
 
Hii ndo roho halisi ya waTZ,so sishangai wanavyofanyaga CCM maana wenzao wapinzani wanaweza fanya zaidi mradi waTZ ni wale wale.
Lowasa May 2015 na Lowasa October 2015 unatakiwa U-Compare na U-Contrast.
Maneno haya yanafikirisha sana kwa wenye Akili za kufikiria !
Mimi huwa najiuliza maswali mengi ninapowaona Watanzania wanavyompa kipondo kibaka labda amekwapua simu au viatu 😳
Huwa najiuliza hawa watu ndio hao wanaoitwa eti Watanzania ni wapole sana ???!!!
😳🙄😱
 
Safi sana.
Mvua huanza kama manyunyu?

Hakuna anayeweza kudokeza mwenendo wa kisiasa eneo hilo upoje, na hasa hasa huyo majeruhi anavyochukulia mwenendo huo uliovyo? Hii inaweza kujazia nyama kidogo kwenye mfupa ulio wekwa hapa jukwaani.
 
Wenyewe kwa wenyewe hapo
 
Tena

Hao makatibu kata hawana mishahara so hapo hadi apone kazi anayo.
 
Huu mzaha wa kukata majina ya wagombea wasifikiri Kuna mtu wanamfurahisha. Kidogokidogo inaweza ikatuingizia giza tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…