Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
gentleman,Tlaatlaah andaa ngoko Kamanda Muda wowote wheelchair itakuhusu.😂
Ushindi wa kura za gizan na rundo la Aafande.gentleman,
ni nina kazi muhimu ya wananchi ya kuandaa na kujipanga kwaajili ya ushindi wa kishindo kwa wagombea uongozi wa CCM vijiji na vitongoji vyote Jimboni pangu Nov 27,2024,
mambo binafsi ikiwa ni pamoja na mafumanizi ya wenye tamaa na vya watu, yatafutiwe ufumbuzi kibinafs 🐒
Ila ni fair kuwawinda na kuwaua wanachadema si ndio ?Sio fair kufanyiana haya
HAYA BHANA ....
Ccm wenzake hao waliokatwa kwenye uteuzi. Bwawa limeingia luba.Dah siasa za Africa hazifai kabisa
Mbozi inapsawa kupewa hadhi ya mkoa wa kipolisi.Ubaya ubwela , hii ndio Songwe ninayoijua mimi , ngome ya wapinzani Chadema , kunawatu wabishi kule balaa .
Waanze tu kuwawawinda na kuwachuna ngozi Makada uchwara wa ccm ,mimi nitawapa support kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ,wao si wanajifanya wahuni wa kutengeneza vikosi vya wasiojulikana wakati hii michezo Mbozi kule inafanywa kitambo
Vipi wachadema walio kufa kikatili moawasema wanaigiza bongo movieSafi kiaje angekuwa nduguyo ungesema hivyo? Siasa isiondoe ubinadamu wako
Sikua na maanaa io mkuuIla ni fair kuwawinda na kuwaua wanachadema si ndio ?
Hiki ndicho niliwashauri CHADEMA, wasikae wanalialia tu wakati watesi wao wanao mitaani!Watu wamechoka na uonevu wa CCM.
Si bora huyo kavunjwa miguu je wachadema mnawapiga risasi kuwayoboa macho na kuwamwagia tindikali nao wasrmeje? Kina ben saanane si mnafurahi hadi leo!?Safi kiaje angekuwa nduguyo ungesema hivyo? Siasa isiondoe ubinadamu wako
Safi kabisa shenzi taipuWakuu!
Hekaheka zinazidi kuendelea katika kipindi hichi cha uchaguzi. Naona watu wasiojulikana wamehamia CCM mbona kazi ipo
===================
Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Itumba wilayani Ileje, Mkoa wa Songwe, Huruma Ally amevamiwa na watu wasiojulikana na kumvunja miguu yote miwili.
Akizungumzia tukio hilo leo Jumapili, Novemba 10, 2024 mjini Ileje, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM wilayani hapa, Maoni Mbuba amesema uvamizi huo umetokea usiku wa kuamkia jana Jumamosi, Novemba 9,2024, huku chanzo kikiwa bado hakijafahamika.
Mbuba amesema katibu huyo amevamiwa saa nne usiku, eneo la Shule ya Msingi Itumba na aliokotwa na wasamaria wema akiwa katika hali mbaya, baada ya kuvunjwa miguu na kupoteza fahamu.
Soma Pia: Yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Songwe
Amesema alipelekwa Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya kwa matibabu, huku akisema kitendo hicho hakikubaliki na kimezua taharuki hususani katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024.
Mbuba amesema CCM Wilaya ya Ileje inalaani kitendo hicho, huku akiwataka wanasiasa na watu wa kada zote kuacha kujichukulia sheria mkononi.
ushindi ni ushindi tu gentleman hata ukalalamike vpi hakuna namna unaweza kuzuia au kuudhoofisha ushindi wa kishindo hasa kwa wagombea uongozi wa CCM 🐒Ushindi wa kura za gizan na rundo la Aafande.
Ndio sababu mnavunjana miguu.ushindi ni ushindi tu gentleman hata ukalalamike vpi hakuna namna unaweza kuzuia au kuudhoofisha ushindi wa kishindo hasa kwa wagombea uongozi wa CCM 🐒
Hii inatakiwa ifanyike nchi nzima,hawa ma WEOs na VEOs wanatakiwa waipate chungu.Wakuu!
Hekaheka zinazidi kuendelea katika kipindi hichi cha uchaguzi. Naona watu wasiojulikana wamehamia CCM mbona kazi ipo
===================
Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Itumba wilayani Ileje, Mkoa wa Songwe, Huruma Ally amevamiwa na watu wasiojulikana na kumvunja miguu yote miwili.
Akizungumzia tukio hilo leo Jumapili, Novemba 10, 2024 mjini Ileje, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM wilayani hapa, Maoni Mbuba amesema uvamizi huo umetokea usiku wa kuamkia jana Jumamosi, Novemba 9,2024, huku chanzo kikiwa bado hakijafahamika.
Mbuba amesema katibu huyo amevamiwa saa nne usiku, eneo la Shule ya Msingi Itumba na aliokotwa na wasamaria wema akiwa katika hali mbaya, baada ya kuvunjwa miguu na kupoteza fahamu.
Soma Pia: Yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Songwe
Amesema alipelekwa Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya kwa matibabu, huku akisema kitendo hicho hakikubaliki na kimezua taharuki hususani katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024.
Mbuba amesema CCM Wilaya ya Ileje inalaani kitendo hicho, huku akiwataka wanasiasa na watu wa kada zote kuacha kujichukulia sheria mkononi.
Kufanywa hiviSasa mwizi kaibiwa.
Kufanywa hiviView attachment 3151119