Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Wakuu,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Songwe. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Songwe una jumla ya majimbo ya uchaguzi 6 ambayo ni:
Ileje -
ENG. MSONGWE GODFREY KASEKENYA - Amepita bila kupingwa
Mbozi -
George Mwenisongole(CCM)
Vwawa -
Japhet Hasunga (CCM) - Kura 38,226
Fanuel Mkisi (CHADEMA) - Kura 17,157
Tunduma -
David Silinde (CCM) - Kura 43,276
Frank Mwakajoka (CCM) - kura 12,433
Momba -
Kondesta Sichalwe (CCM)
Songwe -
MULOGO PHILIPO AUGUSTINO - Amepita bila kupingwa
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Songwe. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Songwe una jumla ya majimbo ya uchaguzi 6 ambayo ni:
Ileje -
ENG. MSONGWE GODFREY KASEKENYA - Amepita bila kupingwa
Mbozi -
George Mwenisongole(CCM)
Vwawa -
Japhet Hasunga (CCM) - Kura 38,226
Fanuel Mkisi (CHADEMA) - Kura 17,157
Tunduma -
David Silinde (CCM) - Kura 43,276
Frank Mwakajoka (CCM) - kura 12,433
Momba -
Kondesta Sichalwe (CCM)
Songwe -
MULOGO PHILIPO AUGUSTINO - Amepita bila kupingwa
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.