Songwe: Miili mitano yaokotwa msituni

Songwe: Miili mitano yaokotwa msituni

S
Kila tukio lilikua Magufuli, ndio maana tunahoji Magufuli karudi tena au zilikua Propaganda?Mwaka jana kuna miili iliokotwa huko Tanga,hatukusikia zile kelele kutoka kwa wapiga ramli.
Sasa hivi wale walikuwa wanamchafua JPM na propaganda chafu wanalamba asali kwa hiyo haya mambo hawataki hata kuyasemea tena....ni kakundi Ka watu wachache sana wao wakifurahi nchi inakuwa shwari...watanzania tuamke
 

WINGU jeusi limetanda wilayani Mbozi katika Mkoa wa Songwe baada ya miili ya watu watano wasiofahamika kukutwa imetupwa kwenye msitu wa Mlima Senjele pembezoni mwa Barabara Kuu ya Tanzania na Zambia (TANZAM).

Miili hiyo ambayo ni ya wanaume wanaokadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 25 na 30, inadaiwa kutupwa katika eneo hilo usiku wa kuamkia jana na watu wasiojulikana.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Songwe, Kamishna Msaidizi (ACP) Theopista Mallya, alisema miili hiyo ilikutwa jana asubuhi na kuchukuliwa kwenda kuhifadhiwa katika Hospitali ya Wilaya ya Mbozi.

Alisema chanzo cha vifo vya watu hao hakijulikani na kwa sasa wanasubiri taarifa ya kitabibu kutoka kwa madaktari ili wajue kiini chake.

Chanzo: Gazeti la Nipashe
Mikoa kama Geita, Songwe Kweli IGP anaweka RPC wa aina hii?

Kamishna Msaidizi (ACP) Theopista Mallya, Na Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Berthaneema Mlay wote wametokea Kilimanjaro ambako kundi hili ni waoga sana.

Bora wangetokea Tarime.


Ninakumbuka SIRRO
 
Pole Sana Kwa Wote, Mamlaka Itasema Nini Chanzo Cha Hayo
 

WINGU jeusi limetanda wilayani Mbozi katika Mkoa wa Songwe baada ya miili ya watu watano wasiofahamika kukutwa imetupwa kwenye msitu wa Mlima Senjele pembezoni mwa Barabara Kuu ya Tanzania na Zambia (TANZAM).

Miili hiyo ambayo ni ya wanaume wanaokadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 25 na 30, inadaiwa kutupwa katika eneo hilo usiku wa kuamkia jana na watu wasiojulikana.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Songwe, Kamishna Msaidizi (ACP) Theopista Mallya, alisema miili hiyo ilikutwa jana asubuhi na kuchukuliwa kwenda kuhifadhiwa katika Hospitali ya Wilaya ya Mbozi.

Alisema chanzo cha vifo vya watu hao hakijulikani na kwa sasa wanasubiri taarifa ya kitabibu kutoka kwa madaktari ili wajue kiini chake.

Chanzo: Gazeti la Nipashe
Dah
Sirikali
 
Uchunguzi kamili ufanyika na wahusika wafikishwe kwenye vyombo vya sheria. Simu zao za mkononi zifuatiliwe ili kuona siku ya tukio walikuwa wanafanya mawasialiano na namba zipo zinazofanana
 
Songwe. Zoezi la kumtambua miili ya watu watano (5) iliyookotwa ikiwa imetupwa kando ya barabara ya lami eneo la Mlima Senjele, Kata ya Nanyara, wilayani Mbozi; Mkoa wa Songwe, linaendelea.


Hata hivyo, muda ambao waandishi anaandika habari hii, hakukuwa na mwili hata mmoja uliotambuliwa na ndugu, jamaa ama marafiki.

Tukio la kuonekana kwa miili ya watu hao ambao inasemekana ni wa jinsia ya kiume wakikadiliwa kuwa na umri wa kati ya miaka 25 na 30; limetokea jana ambapo walioiona miili hiyo jana Mei 10 ,2023 walisema ilikuwa ikivuja damu kichwani.
 

WINGU jeusi limetanda wilayani Mbozi katika Mkoa wa Songwe baada ya miili ya watu watano wasiofahamika kukutwa imetupwa kwenye msitu wa Mlima Senjele pembezoni mwa Barabara Kuu ya Tanzania na Zambia (TANZAM).

Miili hiyo ambayo ni ya wanaume wanaokadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 25 na 30, inadaiwa kutupwa katika eneo hilo usiku wa kuamkia jana na watu wasiojulikana.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Songwe, Kamishna Msaidizi (ACP) Theopista Mallya, alisema miili hiyo ilikutwa jana asubuhi na kuchukuliwa kwenda kuhifadhiwa katika Hospitali ya Wilaya ya Mbozi.

Alisema chanzo cha vifo vya watu hao hakijulikani na kwa sasa wanasubiri taarifa ya kitabibu kutoka kwa madaktari ili wajue kiini chake.

Chanzo: Gazeti la Nipashe
 
Back
Top Bottom