Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Lington Mbuzi, anakabiliwa na tuhuma za Ufujaji na Ubadhirifu wa Tsh. 13,913,488/= mali ya Halmashauri ya Wilaya ya Songwe zilizofika kwenye himaya yake akiwa Mtumishi wa Umma.
Imeelezwa kuwa, kati ya Mei 5 2017 na Oktoba 10, 2019, Mtuhumiwa akiwa Mkusanya Mapato katika Halmashauri hiyo, alitumia madaraka yake vibaya kwa kushindwa kupeleka fedha hizo kwa Mhasibu wa Wilaya au kuweka kwenye akaunti ya Wilaya kwa nia ya kujipatia maslahi binafsi.
Mshtakiwa amekana Mashtaka yake na yupo nje kwa dhamana.
Chanzo: TAKUKURU
Imeelezwa kuwa, kati ya Mei 5 2017 na Oktoba 10, 2019, Mtuhumiwa akiwa Mkusanya Mapato katika Halmashauri hiyo, alitumia madaraka yake vibaya kwa kushindwa kupeleka fedha hizo kwa Mhasibu wa Wilaya au kuweka kwenye akaunti ya Wilaya kwa nia ya kujipatia maslahi binafsi.
Mshtakiwa amekana Mashtaka yake na yupo nje kwa dhamana.
Chanzo: TAKUKURU