Songwe: TARURA yakamilisha kivuko, chagharimu Tsh. Milioni 207 huko Momba

Najua unabeza ila hapo Tarura wapo gezwe ,mita 115 kwa.hiyo pesa ni kidogo Sana.

Serikali tafuteni pesa za kujenga Daraja la Kudumu.
Sometimes ukiwa neutral uwa na mawazo positive sana but hilo hicho kiasi kingelikuwa ni kipindi cha Magu ungelipiga kelele sana.
Kwenye hilo daraja gharama kubwa itakuwa Kwenye piles (nguzo za kwenda chini ya ardhi hadi kukutana na tabaka gumu).
Hapa naungana nawewe kuwapongeza TARURA
 
Hakuna gharama kubwa,nipige kelele kisa ni Magufuli au? Kwanza yule alikuwa anaharibu miradi Kwa kulazimisha gharama za chini amabzo kiuhalisia hazipo.

Matokeo yake expansion joint,pamoja na kudanganya gharama ziliongezeka lakini mradi ulijengwa chini ya kiwango.
 
Kuna watu afu kuna wanyama Eh bwana tupe mwisho mwema Tz aliyotabiri kinjenkitile ngwale
 
Hilo la gharama za chini ni tatizo kubwa sana na ndilo likaleta mdudu was force account. Jamii ilihaminushwa ujenzi ni cheap tu, watendaji wa serikali na mashirika ya uma waliogopa kufanya ujenzi kwa hofu ya kutumia gharama (halisi) kubwa na kupelekea kusumbuliwa na takakuru.
Mama inabidi halitoe hili zimwi la force account
 
Ma QS wa JF tupeni rough cost estimates hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…