Nedlloyd JF-Expert Member Joined Mar 29, 2014 Posts 10,361 Reaction score 27,215 Oct 19, 2023 #81 raraa reree said: Yap ukiangalia ni kama porini alafu hapo mwanzo wameweka na kizuio kabisa π inaelekea ndio kamekula pesa nyingi Click to expand... πMe nahisi hi siyo njia na inasihia Kati tu hapo.
raraa reree said: Yap ukiangalia ni kama porini alafu hapo mwanzo wameweka na kizuio kabisa π inaelekea ndio kamekula pesa nyingi Click to expand... πMe nahisi hi siyo njia na inasihia Kati tu hapo.
raraa reree JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 11,504 Reaction score 35,520 Oct 19, 2023 #82 Lloyd Munroe said: πMe nahisi hi siyo njia na inasihia Kati tu hapo. Click to expand... Kidaraja kama utambi π kama njia ya kuongozea ng'ombe kwenda kwenye josho
Lloyd Munroe said: πMe nahisi hi siyo njia na inasihia Kati tu hapo. Click to expand... Kidaraja kama utambi π kama njia ya kuongozea ng'ombe kwenda kwenye josho
Nedlloyd JF-Expert Member Joined Mar 29, 2014 Posts 10,361 Reaction score 27,215 Oct 19, 2023 #83 raraa reree said: Kidaraja kama utambi π kama njia ya kuongozea ng'ombe kwenda kwenye josho Click to expand... πEti kivuko. kumamake KITUKO hiko
raraa reree said: Kidaraja kama utambi π kama njia ya kuongozea ng'ombe kwenda kwenye josho Click to expand... πEti kivuko. kumamake KITUKO hiko
Half american JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 38,283 Reaction score 97,793 Oct 19, 2023 #84 Iceberg9 said: Hivi mafisadi mahakama yao ina kazi gani huu ni ufisadi wa wazi kabisa Click to expand... Mahakama yao haioni haya
Iceberg9 said: Hivi mafisadi mahakama yao ina kazi gani huu ni ufisadi wa wazi kabisa Click to expand... Mahakama yao haioni haya
Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 25,425 Reaction score 59,309 Oct 19, 2023 #85 Kuna vitu ukivifatilia sana unaweza kufa ukaiacha dunia mapema sana. Chuma sikuwahi kumuelewa ila kwa ujinga huu walau angewatia watu adabu hawa wajinga. Mama anapwaya viatu havimtoshi
Kuna vitu ukivifatilia sana unaweza kufa ukaiacha dunia mapema sana. Chuma sikuwahi kumuelewa ila kwa ujinga huu walau angewatia watu adabu hawa wajinga. Mama anapwaya viatu havimtoshi