SAUTIYANGU
New Member
- Oct 23, 2024
- 4
- 2
Vifusi vilivyowekwa barabarani kwa muda mrefu katika Barabara ya Sogea - Machinjioni katika Halmashauri ya Mji wa Tunduma na kusababisha kero kwa Wananchi vimesambazwa na kutatua kero hiyo kwa kuanza utengenezaji wa Barabara inayotarajiwa kutengenezwa kwa kiwango cha lami.
Ni siku nne baada ya kero hiyo kuwasilishwa hapa kwenye jukwaa letu la JamiiForums, awali malalamiko yetu ilikuwa vifusi hivyo vilivyodaiwa kukaa kwa zaidi ya Miezi 3.
Vifusi hivyo vilisababisha usumbufu kwa watumiaji wa barabara hiyo hasa wafanyabiashara wa nyama wanaolazimika kusafirisha nyama kutoka machinjioni hadi Buchani.
Pia, soma: - KERO - Vifusi barabara ya Sogea Machinjioni (Songwe) vinaleta usumbufu kwa watumiaji wa barabara hiyo
Ni siku nne baada ya kero hiyo kuwasilishwa hapa kwenye jukwaa letu la JamiiForums, awali malalamiko yetu ilikuwa vifusi hivyo vilivyodaiwa kukaa kwa zaidi ya Miezi 3.
Vifusi hivyo vilisababisha usumbufu kwa watumiaji wa barabara hiyo hasa wafanyabiashara wa nyama wanaolazimika kusafirisha nyama kutoka machinjioni hadi Buchani.
Pia, soma: - KERO - Vifusi barabara ya Sogea Machinjioni (Songwe) vinaleta usumbufu kwa watumiaji wa barabara hiyo