Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #41
Ndio imejaa hadi juu kabisa na hakuna mtungi ulio kuwa nusuKwa ivo wewe umo ndani ya hiyo mitungi ya gesiπππ
Kwani mitungi ya gesi kuwa na gesi ndani yake ni jambo la kushangaa. Ila kusema imejaa mpaka juu, ndiyo kiashiria cha uchawa.
Mimi siyo msimamizi wa uchaguziMjinga mkubwa wewe tangu umeanza kusimamia uchaguzi 2020 hujawahi kununua jiko la gas elf 40?
Songwe hawajawahi kuwa na mitungi ya gas, gas huwa ipo kwa DAS/DED/DC/RAS/RCKwa ivo wewe umo ndani ya hiyo mitungi ya gesiπππ
Kwani mitungi ya gesi kuwa na gesi ndani yake ni jambo la kushangaa. Ila kusema imejaa mpaka juu, ndiyo kiashiria cha uchawa.
USAID ni nini katika taifa lenu? Bajeti yako wewe mpaka unapata muda wa kuita mzazi wa Wanu na Abdul mama yako unajua mfadhili ni nani?Kwani Trump ni Nani katika Taifa letu?
Sawa ila mm km mtanzania Bado mama ajanifikia mkuu nipate tabasamuu,,km kashakufikia mkuu usiniache ktk ombi langu lilee ya kuku drive na v8πππMama anaendelea kuleta tabasamu na furaha kwa watanzania
Sasa Luka, mambo mengine ukiandika unajua yanakufanya uonekane Mshamba!?Ndio imejaa hadi juu kabisa na hakuna mtungi ulio kuwa nusu
Gesi ikiisha mtungi anabaki nao kama kumbukumbu.Na gas
Na ges ikiisha wanajaziwa au
Acha uongo wako hapa weweSongwe hawajawahi kuwa na mitungi ya gas, gas huwa ipo kwa DAS/DED/DC/RAS/RC
Acha wivu wako hapa weweSasa Luka, mambo mengine ukiandika unajua yanakufanya uonekane Mshamba!?
Yaani unakuja kushangilia ugawaji wa mitungi ya gesi kwa levo ya Urais? Hiyo si kazi ya kufanywa hata na watendaji wa mitaa?
Ngazi ya kijiji ndio nini hichoShetani wewe ulisimamia ngazi ya kijiji
Mfadhili ni kodi zetu watanzaniaUSAID ni nini katika taifa lenu? Bajeti yako wewe mpaka unapata muda wa kuita mzazi wa Wanu na Abdul mama yako unajua mfadhili ni nani?
Wanyia washamba sanaMimi siyo VEO Dogo. Mimi ni Mkulima.
Mshamba MwenyeweWanyia washamba sana
Kila la kheri kama kweli.Mama yako kapata lakini mtungi wa gesi kwenye huu mgao au ndio bado anapikia kuni na mkaa?Mfadhili ni kodi zetu watanzania
ππππAcha umbumbumbu wako hapa wewe. Jibu swali mtungi wa gas uliojaa kabisa unanunuliwa shilingi ngapi dukani au kwa wakala?
Wanauza kama chuma chakavuGesi ikiisha mtungi anabaki nao kama kumbukumbu.
Wanachoweza uchawi tuWanyia washamba sana
Mpuuzi mkubwa wewe , unampa mtu cylinder pesa ya kufanya refill hana unatarajia nini?Acha wivu wako hapa wewe. Unajua namna watu walivyokuwa wakiteseka kwa kupikia kuni mbichi zenye kutoa moshi muda wote kama gari bovu.