Pre GE2025 Songwe yabubujikwa na machozi ya furaha na kumshukuru Rais Samia baada ya kupewa Majiko ya Gesi ya Ruzuku

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama umeumia jinyonge tu UFE
 
Wananchi wanahitaji ajira, huduma mzuri na nafuu za afya, elimu, umeme, maji na pasipe na mfumuko wa juu wa vyakula.
 
Mitungi ya gesi isiyokwisha gesi na ikiisha gesi mtafuteni tena mama
 
Hivi kweli Lucas huwa unajielewa!? Ni kujitoa ufahamu, uvivu wa kufikiri, ama vyote kwa pamoja!?

Hivi raia kupewa bure jiko la gesi ndiyo habari kubwa ya kusifia!? Je! Hao wanaCCM waliohongwa hayo majiko, ni wangapi wanaweza kumudu gharama za kuzidi kuyatumia!?
 
Kwahyo wanaacha kupunguza bei ya Gesi, Wanagawa Mitungi ya Gesi.

Hapa ndo tumefikiri mpaka mwisho?
 
Acha wivu wako wewe. Umewahi wasaidia wangapi kupata majiko ya Gas?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…