Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Evelyn Salt njoo ububujikwe na machozi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa Hakika Rais Samia ni Chaguo La Mungu,Kwa hakika Mama Ni Mpango wa Mungu Mwenyewe,Kwa hakika Mama alikuja kulipa Furaha Taifa hili ,kwa hakika Mama alikuja Kwa Makusudi Maalumu Hapa Duniani,Kwa hakika Mama Samia Ana Sehemu yake Katika Mioyo ya watanzania Ambayo huwezi kukaa na Kumuondoa wewe Mtu mwingine.
Haijapata Kutokea Watu wanaimba jina la Rais mitaani kote Utafikiri wimbo wa Taifa,haijapata kutokea RAIS anapendwa na watanzania Utafikiri ni Mama Mzazi wa Kuwazaa Watanzania wote. Rais Hakauki midomoni mwa Watu utafikiri chemchemi ya maji inatiririka midomoni mwa watanzania.
Songwe Imejikuta ikibubujikwa na machozi ya Furaha na kumshukuru Rais Samia Baada ya kupewa Majiko ya Gas yaliyojaa hadi juu kwa Bei ya Ruzuku sawa na Bure kabisa. Zoezi hilo la kugawa majiko hayo ya Gas limefanywa na REA mkoani Songwe na kuwaacha mamia kwa mamia ya wananchi wakishangilia mitaani kote na katika barabara zote huku wakiwa wamebeba majiko yao kichwani Utafikiri bendera ya uhuru iliyowekwa katika kilele cha mlima Kilimanjaro na kupepea muda wote.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Watu wengine wamefikia hatua ya kubeba mabango ya Rais Samia na kutembea nayo Mitaani na kutamka waziwazi bila hofu kuwa Mama Samia ndiye Rais wa Mioyo ya watanzania, Ndiye kipenzi chao na ndiye chaguo lao. Wakati hayo yakifanyika watu mbalimbali wamekuwa wakishangilia kwa kelele za shangwe na Nderemo kuishangilia picha ya Rais Samia na kuiinua juu juu na kuimba RAIS Rais RAIS Rais MaMa Mama Mama Mama.
Kwa hakika usishindane na aliyepewa kibali na Mungu na wala huwezi kumshinda wala kumshusha aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Dhamira ya serikali ni kutaka kuona watanzania wote wanatumia nishati safi katika kupikia. Na katika kufikia hilo serikali ina mipango kabambe ya kupunguza bei ya gas kuwa sawa na bure ili kila mwananchi Amudu.Watendelea kuuza chuma chakavu baada ya kumaliza gesi.Maana Serikali imeshindwa kupromote nishati safi ya kupikia.Agenda hii iko kisiasa zaidi wala siyo ya kimkakati.wanaomshauri Raisi kwenye hili ni wa Hovyo saana.ama ni wafanyabiashara wa majiko ambao hawana intererest ya kumasaidia raisi.Iko hivi Rwanda waliondoa tozo ukununua gari inayotumia umeme ili kulinda mazingira.Wangeondoa kodi na kusulipiq sehemu ya gharama ili gesi iwe bei ndogo watu waone huo unafuu.otherwise watandelea kukimbizana na wauza mkaa.watu wana interest na nishati ya kupikia iliyo raisi ,mambo ya usafi siyo mhimu kwao.ila ikiwa unataka kuleta usafi leta na unafuu.watu wataacha matumizi ya mkaa ikiwa yatakuwa ghari kuliko gesi au umeme.
Siku hizi kupikia gesi na umeme ni kama anasa hivi
Hizo ni STORY TUU.TUMEANZA KUSIKIA TOKA TUKIWA VIJANA NA SASA NI WAZEE.TOKA GESI ILIPOGUNDILIWA HUKO MTWARADhamira ya serikali ni kutaka kuona watanzania wote wanatumia nishati safi katika kupikia. Na katika kufikia hilo serikali ina mipango kabambe ya kupunguza bei ya gas kuwa sawa na bure ili kila mwananchi Amudu.
Ukweli haujawahi kuwa dharau.Acha dharau
Mama akisema anatekeleza na kutenda.kwa hiyo uwe na subira utafurahi Mwenyewe.Hizo ni STORY TUU.TUMEANZA KUSIKIA TOKA TUKIWA VIJANA NA SASA NI WAZEE.TOKA GESI ILIPOGUNDILIWA HUKO MTWARA
Hakuna ukweli wowote hapo.Ukweli haujawahi kuwa dharau.
Unasifia "mama" mpaka Wanu anaona aibu.Hakuna ukweli wowote hapo.
Mimi sisifii bali naongea ukweli na uhalisia.Unasifia "mama" mpaka Wanu anaona aibu.
Machozi yako sasa umeamua ambukiza ,wana Mbeya ,unaweza ukawa umezaliwa Mbeya ila huwajui wana Mbeya ,Mbeya hakuna falaNdugu zangu Watanzania,
Kwa Hakika Rais Samia ni Chaguo La Mungu,Kwa hakika Mama Ni Mpango wa Mungu Mwenyewe,Kwa hakika Mama alikuja kulipa Furaha Taifa hili ,kwa hakika Mama alikuja Kwa Makusudi Maalumu Hapa Duniani,Kwa hakika Mama Samia Ana Sehemu yake Katika Mioyo ya watanzania Ambayo huwezi kukaa na Kumuondoa wewe Mtu mwingine.
Haijapata Kutokea Watu wanaimba jina la Rais mitaani kote Utafikiri wimbo wa Taifa,haijapata kutokea RAIS anapendwa na watanzania Utafikiri ni Mama Mzazi wa Kuwazaa Watanzania wote. Rais Hakauki midomoni mwa Watu utafikiri chemchemi ya maji inatiririka midomoni mwa watanzania.
Songwe Imejikuta ikibubujikwa na machozi ya Furaha na kumshukuru Rais Samia Baada ya kupewa Majiko ya Gas yaliyojaa hadi juu kwa Bei ya Ruzuku sawa na Bure kabisa. Zoezi hilo la kugawa majiko hayo ya Gas limefanywa na REA mkoani Songwe na kuwaacha mamia kwa mamia ya wananchi wakishangilia mitaani kote na katika barabara zote huku wakiwa wamebeba majiko yao kichwani Utafikiri bendera ya uhuru iliyowekwa katika kilele cha mlima Kilimanjaro na kupepea muda wote.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Watu wengine wamefikia hatua ya kubeba mabango ya Rais Samia na kutembea nayo Mitaani na kutamka waziwazi bila hofu kuwa Mama Samia ndiye Rais wa Mioyo ya watanzania, Ndiye kipenzi chao na ndiye chaguo lao. Wakati hayo yakifanyika watu mbalimbali wamekuwa wakishangilia kwa kelele za shangwe na Nderemo kuishangilia picha ya Rais Samia na kuiinua juu juu na kuimba RAIS Rais RAIS Rais MaMa Mama Mama Mama.
Kwa hakika usishindane na aliyepewa kibali na Mungu na wala huwezi kumshinda wala kumshusha aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kinachokusumbua wewe ni chuki binafsi tu zilizokujaa katika kifua chako. Lakini napenda kukwambia ya kuwa RAIS Samia ni akili kubwa na kiongozi mwenye Maono makubwa Sana .Ndio Maana CCM tumempitisha kuwa Mgombea wetu kupeperusha bendera Uchaguzi utakaofanyika Mwishoni Mwa Mwaka huu.IQ ya hangaya na watu wake ni ya ndogo kama ubongo wa sisimizi
Kwani wana Mbeya wana NiniMachozi yako sasa umeamua ambukiza ,wana Mbeya ,unaweza ukawa umezaliwa Mbeya ila huwajui wana Mbeya ,Mbeya hakuna fala
Hao ni moja ya Nguzo muhimu juu yaTaifa hili, rudi shule na kuisoma vizuli Mbeya , hakunaga vilaza kule , ni wachache sana kama weweKwani wana Mbeya wana Nini
Sasa wewe huoni mimi Kuwa ni akili kubwa.Hao ni moja ya Nguzo muhimu juu yaTaifa hili, rudi shule na kuisoma vizuli Mbeya , hakunaga vilaza kule , ni wachache sana kama wewe
Wapumbavu wakubwa nyie.Kinachokusumbua wewe ni chuki binafsi tu zilizokujaa katika kifua chako. Lakini napenda kukwambia ya kuwa RAIS Samia ni akili kubwa na kiongozi mwenye Maono makubwa Sana .Ndio Maana CCM tumempitisha kuwa Mgombea wetu kupeperusha bendera Uchaguzi utakaofanyika Mwishoni Mwa Mwaka huu.
Endelea kutukana matusi yako utafikiri hayawani au mwendawazimuWapumbavu wakubwa nyie.
Watz hawahitaji kupewa samaki bali wanahitaji nyavu wakavue wenyewe
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa Hakika Rais Samia ni Chaguo La Mungu,Kwa hakika Mama Ni Mpango wa Mungu Mwenyewe,Kwa hakika Mama alikuja kulipa Furaha Taifa hili ,kwa hakika Mama alikuja Kwa Makusudi Maalumu Hapa Duniani,Kwa hakika Mama Samia Ana Sehemu yake Katika Mioyo ya watanzania Ambayo huwezi kukaa na Kumuondoa wewe Mtu mwingine.
Haijapata Kutokea Watu wanaimba jina la Rais mitaani kote Utafikiri wimbo wa Taifa,haijapata kutokea RAIS anapendwa na watanzania Utafikiri ni Mama Mzazi wa Kuwazaa Watanzania wote. Rais Hakauki midomoni mwa Watu utafikiri chemchemi ya maji inatiririka midomoni mwa watanzania.
Songwe Imejikuta ikibubujikwa na machozi ya Furaha na kumshukuru Rais Samia Baada ya kupewa Majiko ya Gas yaliyojaa hadi juu kwa Bei ya Ruzuku sawa na Bure kabisa. Zoezi hilo la kugawa majiko hayo ya Gas limefanywa na REA mkoani Songwe na kuwaacha mamia kwa mamia ya wananchi wakishangilia mitaani kote na katika barabara zote huku wakiwa wamebeba majiko yao kichwani Utafikiri bendera ya uhuru iliyowekwa katika kilele cha mlima Kilimanjaro na kupepea muda wote.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Watu wengine wamefikia hatua ya kubeba mabango ya Rais Samia na kutembea nayo Mitaani na kutamka waziwazi bila hofu kuwa Mama Samia ndiye Rais wa Mioyo ya watanzania, Ndiye kipenzi chao na ndiye chaguo lao. Wakati hayo yakifanyika watu mbalimbali wamekuwa wakishangilia kwa kelele za shangwe na Nderemo kuishangilia picha ya Rais Samia na kuiinua juu juu na kuimba RAIS Rais RAIS Rais MaMa Mama Mama Mama.
Kwa hakika usishindane na aliyepewa kibali na Mungu na wala huwezi kumshinda wala kumshusha aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kila nchi Huwa haikosi majinga. Nchi yetu ina jinga namba moja ambalo ni wewe. Ili tuendelee inabidi majinga yafe yote ili wenye akili wapate ufanisi. Jinga wewe umekaribia kufa kwani mungu ameshaanza maandalizi ya kukutwaa. Na utakufa vibaya. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisaNdugu zangu Watanzania,
Kwa Hakika Rais Samia ni Chaguo La Mungu,Kwa hakika Mama Ni Mpango wa Mungu Mwenyewe,Kwa hakika Mama alikuja kulipa Furaha Taifa hili ,kwa hakika Mama alikuja Kwa Makusudi Maalumu Hapa Duniani,Kwa hakika Mama Samia Ana Sehemu yake Katika Mioyo ya watanzania Ambayo huwezi kukaa na Kumuondoa wewe Mtu mwingine.
Haijapata Kutokea Watu wanaimba jina la Rais mitaani kote Utafikiri wimbo wa Taifa,haijapata kutokea RAIS anapendwa na watanzania Utafikiri ni Mama Mzazi wa Kuwazaa Watanzania wote. Rais Hakauki midomoni mwa Watu utafikiri chemchemi ya maji inatiririka midomoni mwa watanzania.
Songwe Imejikuta ikibubujikwa na machozi ya Furaha na kumshukuru Rais Samia Baada ya kupewa Majiko ya Gas yaliyojaa hadi juu kwa Bei ya Ruzuku sawa na Bure kabisa. Zoezi hilo la kugawa majiko hayo ya Gas limefanywa na REA mkoani Songwe na kuwaacha mamia kwa mamia ya wananchi wakishangilia mitaani kote na katika barabara zote huku wakiwa wamebeba majiko yao kichwani Utafikiri bendera ya uhuru iliyowekwa katika kilele cha mlima Kilimanjaro na kupepea muda wote.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Watu wengine wamefikia hatua ya kubeba mabango ya Rais Samia na kutembea nayo Mitaani na kutamka waziwazi bila hofu kuwa Mama Samia ndiye Rais wa Mioyo ya watanzania, Ndiye kipenzi chao na ndiye chaguo lao. Wakati hayo yakifanyika watu mbalimbali wamekuwa wakishangilia kwa kelele za shangwe na Nderemo kuishangilia picha ya Rais Samia na kuiinua juu juu na kuimba RAIS Rais RAIS Rais MaMa Mama Mama Mama.
Kwa hakika usishindane na aliyepewa kibali na Mungu na wala huwezi kumshinda wala kumshusha aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pilHuwa haiko
Sio huko wanapoishi Wachuna ngozi na wachapa nondo?!Hakuna mtu asiye na akili anaweza kutoka tofauti na Songwe