Hapa nawaza hivi inawezekana siku moja Bashite mfalme wa Dar naye akatiwa pingu, au yule ni dogo wa mkulu, maana huboronga kupita maelezo na anapeta tu bila kuelekezwa kidole na mtu.
Sonko kwa kweli naye alipitiliza kwenye majigambo, ila kiaina nilikua nimeanza kumkubali pale alipokua anapambana na cartels za Nairobi, inawezekana hao ndio wamesuka haya yote ili azikwe hai, tatizo naye ana figisufigisu nyingi kiasi kwamba kumtolea nje nje ni kazi rahisi sana kwa cartels.
Kuna tofauti kubwa sana kwenye mienendo ya hao watu wawili...
Hiyo kweli, kuna mmoja kaghushi vyeti na kutumia hadi jina la mtu mwengine mpaka leo.
Sonko amenichekesha..kapiga yowe originalAnti-Corruption Commission (EACC) while trying to escape arrest. According to EACC, Sonko was attempting to escape at a road block in Voi when the detectives waylaid him.
“EACC confirms that Nairobi City County Governor Mike Sonko Mbuvi has been arrested while escaping arrest at a road block in Voi and is being transferred to Nairobi to face charges of corruption and economic crime,” read the tweet from EACC.
He is expected to arrive in Nairobi afterwhich he will be taken into police custody awaiting arraignment.
Sonko is alleged to have benefited from irregular procurement and payments amounting to Kshs.357, 390,299 million.
This comes barely three hours after the Directorate of Criminal Investigations (DPP) head Noordin Haji ordered for his arrest and prosecution over corruption allegations.
Sonko will be facing charges that include willful failure to comply with the law relating to procurement, conflict of interest and abuse of office.
Other charges are the unlawful acquisition of public property, deceiving principal, money laundering and acquisition of proceeds of crime.
Sonko will also be charged alongside senior County Officials, private and business entities accused of benefitting from suspect county funds.
DPP Haji further revealed that the Sonko case has been very challenging due to his attempts to interfere with the course of investigations as well as employing intimidation tactics including the use of goons to threaten investigating officers in the case.
“The investigations by EACC uncovered numerous instances of criminal conduct and a general disregard of the law by the governor and others in charge,” said DPP Haji.
Meanwhile, EACC detectives have also taken into police custody Peter Mbugua Kariuki (County Secretary) and Patrick Mwangangi (Head Supply Chain Management).
Source: Citizen Digital
Jamaa aliishi maisha expensive kama drug lord!
LOL walikua wanamkagua kama tayari huko gerezani manunda wameshafanya yao18 Nov 2019
Gavana Soko asimulia kukamiwa na watu wasiojulikana, ajilinganisha na Mzee Kenyatta, Nelson Mandela
Gavana wa kaunti ya Nairobi Mike mbuvi Sonko afichua uhofu aliofanyiwa na maafisa wa kupambana na ufisadi [EACC] Akizungumza na Radio Citizen amechora taswira jinsi alivyokagulia sehemu zake za siri ndani ya majengo ya EACC
Source: Radio Citizen
Hapa nawaza hivi inawezekana siku moja Bashite mfalme wa Dar naye akatiwa pingu, au yule ni dogo wa mkulu, maana huboronga kupita maelezo na anapeta tu bila kuelekezwa kidole na mtu.
Sonko kwa kweli naye alipitiliza kwenye majigambo, ila kiaina nilikua nimeanza kumkubali pale alipokua anapambana na cartels za Nairobi, inawezekana hao ndio wamesuka haya yote ili azikwe hai, tatizo naye ana figisufigisu nyingi kiasi kwamba kumtolea nje nje ni kazi rahisi sana kwa cartels.