Sonko arrested in Voi ‘while escaping arrest’

Sonko arrested in Voi ‘while escaping arrest’

Kuna tofauti kubwa sana kwenye mienendo ya hao watu wawili...
Hapa nawaza hivi inawezekana siku moja Bashite mfalme wa Dar naye akatiwa pingu, au yule ni dogo wa mkulu, maana huboronga kupita maelezo na anapeta tu bila kuelekezwa kidole na mtu.
Sonko kwa kweli naye alipitiliza kwenye majigambo, ila kiaina nilikua nimeanza kumkubali pale alipokua anapambana na cartels za Nairobi, inawezekana hao ndio wamesuka haya yote ili azikwe hai, tatizo naye ana figisufigisu nyingi kiasi kwamba kumtolea nje nje ni kazi rahisi sana kwa cartels.
 
Hiyo kweli, kuna mmoja kaghushi vyeti na kutumia hadi jina la mtu mwengine mpaka leo.

Hawa wote kwangu mimi ni Plus or Minus,
Kinachomgharimu bashite ni uwezo wake mdogo wa Kufikiri,
Ila mike sonko hapana, Imagine mtu ni Kiongozi anafanya matanuzi na show off za maana huku amezungukwa na wananchi maskini, this is too much, toeni hii Takataka
 
Jamaa aliishi maisha expensive kama drug lord!
 
Anti-Corruption Commission (EACC) while trying to escape arrest. According to EACC, Sonko was attempting to escape at a road block in Voi when the detectives waylaid him.

“EACC confirms that Nairobi City County Governor Mike Sonko Mbuvi has been arrested while escaping arrest at a road block in Voi and is being transferred to Nairobi to face charges of corruption and economic crime,” read the tweet from EACC.

He is expected to arrive in Nairobi afterwhich he will be taken into police custody awaiting arraignment.

Sonko is alleged to have benefited from irregular procurement and payments amounting to Kshs.357, 390,299 million.

This comes barely three hours after the Directorate of Criminal Investigations (DPP) head Noordin Haji ordered for his arrest and prosecution over corruption allegations.

Sonko will be facing charges that include willful failure to comply with the law relating to procurement, conflict of interest and abuse of office.

Other charges are the unlawful acquisition of public property, deceiving principal, money laundering and acquisition of proceeds of crime.

Sonko will also be charged alongside senior County Officials, private and business entities accused of benefitting from suspect county funds.

DPP Haji further revealed that the Sonko case has been very challenging due to his attempts to interfere with the course of investigations as well as employing intimidation tactics including the use of goons to threaten investigating officers in the case.

“The investigations by EACC uncovered numerous instances of criminal conduct and a general disregard of the law by the governor and others in charge,” said DPP Haji.

Meanwhile, EACC detectives have also taken into police custody Peter Mbugua Kariuki (County Secretary) and Patrick Mwangangi (Head Supply Chain Management).


Source: Citizen Digital
Sonko amenichekesha..kapiga yowe original
 

Attachments

  • 254725242353_status_43f9383095944366b1b48bd0d628f515.mp4
    2.9 MB
18 Nov 2019

Gavana Soko asimulia kukamiwa na watu wasiojulikana, ajilinganisha na Mzee Kenyatta, Nelson Mandela

Gavana wa kaunti ya Nairobi Mike mbuvi Sonko afichua uhofu aliofanyiwa na maafisa wa kupambana na ufisadi [EACC] Akizungumza na Radio Citizen amechora taswira jinsi alivyokagulia sehemu zake za siri ndani ya majengo ya EACC

Source: Radio Citizen

LOL walikua wanamkagua kama tayari huko gerezani manunda wameshafanya yao
 
Hapa nawaza hivi inawezekana siku moja Bashite mfalme wa Dar naye akatiwa pingu, au yule ni dogo wa mkulu, maana huboronga kupita maelezo na anapeta tu bila kuelekezwa kidole na mtu.
Sonko kwa kweli naye alipitiliza kwenye majigambo, ila kiaina nilikua nimeanza kumkubali pale alipokua anapambana na cartels za Nairobi, inawezekana hao ndio wamesuka haya yote ili azikwe hai, tatizo naye ana figisufigisu nyingi kiasi kwamba kumtolea nje nje ni kazi rahisi sana kwa cartels.

Inawezekana, hivyo ukaribu wao na Mkuu wa Nchi wasijidanganye. Itafika siku watatoswa na mkubwa kabisa anayewakingia kifua. Hivyo waishi kwa machale na akili nyingi kuwa siku ya siku inaweza kutokea hasahasa ktk masuala haya ya siasa na uongozi.
 
Gavana wa Nairobi apandishwa kizimbani, akana mashtaka yanayomkabili

Gavana wa jiji la Nairobi nchini Kenya Mike Mbuvi Sonko, amekana mashtaka yanayomkabili, ya ufisadi na uhalifu wa kiuchumi unaohusisha mamilioni ya dola, wakati alipofikishwa mahakamani mapema leo.

Sonko alitiwa nguvuni siku ya Ijumaa akituhumiwa pamoja na mambo mengine, kula njama ya kufanya ufisadi, kushindwa kufuata sheria zinazohusu taratibu za manunuzi na kumiliki mali ya umma kinyume cha sheria.

Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka wa Kenya, DPP Noordin Haji amemtuhumu Mike Sonko na wasaidizi wake kuwa wamehusika na matumizi mabaya ya shilingi milioni 357 za Kenya, ambazo ni sawa na dola milioni 3.52 za Marekani.

Meya huyo wa jiji la Nairobi ambaye ni mwanachama wa chama tawala cha Jubilee, alisema katika taarifa aliyotoa hapo jana kuwa, kukamatwa kwake kumetokana na sababu za kisiasa na kwamba yeye ni raia anayetii sheria.

Kupitia taarifa yake hiyo iliyoandikwa kwa lugha mbili za Kiingereza na Kiswahili, Sonko amewahimiza wafuasi wake wajiepushe na vitendo ambavyo amesema "vinaweza kuhatarisha amani".

Aidha amesema, anawaomba wafuasi wake na hata maadui zake pia wamuombee dua.

Katika kesi hiyo iliyosikilizwa na hakimu mkazi mkuu Douglas Ogoti, gavana huyo wa jiji la Nairobi amewakilisha na jopo zito la mawakili wa Kenya, akiwemo kiongozi wa waliowengi katika Baraza la Seneti, Kipchumba Murkomen.

Sonko ni maarufu kwa mitindo yake maalumu ya mavazi, aina kwa aina za vito vya dhahabu anavyovaa na mikato yake maalumu ya nywele.

Polisi waliweka vizuizi na ulinzi mkali katika eneo linalozunguka mahakama ili kuzuia kutokea fujo baada ya wafuasi wa gavana huyo kutoa mwito wa kufanya maandamano.../

4bsoce3647d2db1juza_800C450.jpeg
 
December 9, 2019
Nairobi, Kenya

Mahakamani Live : Gavana Mike Sonko kusalia rumande

Gavana wa Nairobi, Mike Mbuvi Sonko atasalia rumande hadi siku ya jumatano ambapo Mahakama ya Milimani jijini Nairobi itatoa uamuzi kuhusu ombi la kuachiliwa kwa dhamana. Mawakili wa Sonko wameishutumu Afisi ya Kiongozi wa Mashtaka ya Umma (DPP) kwa kutumia mamlaka yake vibaya..

Source : Kenya CitizenTV
 
Huyu jamaa si nilisikia alishawahi kukamatwa yeye na mwenzie waititu kwa tuhuma za uvutaji bangi kwenye vyoo vya bunge
 
Huyu ukimfuatilia!
Hana kiwanda
Hana biashara yoyote inayonekana inayomuingizia fedha
Cha kujiuliza pesa anatoa wapi kufanya vurugu zake?????
Ndomana anangangania watu wa Hali ya chini awatumie kama mtaji

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom