Soon nakuwa mama wa kambo. Nahitaji maombi yenu na ushauri wa maisha haya mapya

Nafkr keeping an open mind
Asilazimishwe kukuita mama
Anaweza ita mamkubwa au mamdogo tu
 

Wanawake hawajui tu hio karata angeicheza vizuri mkeo ni Bonge la point
Mimi mwanangu wa kwanza nilimkuta lakini ndio tunabond vizuri sana na niliweka juhudi hapo maana ndio roho ya mume ilipo...inampa amani sana baba yake,anapata kila kitu anachotaka zaidi,nampenda tu bure sio kwasababu baba yake yupo hata asipo kuwepo atapata same treatment
 
Yaani mtu ulipewa taarifa kabla hata hujaolewa afu et leo unakuwa na wasiwasi miaka yote hiyo kama siyo roho mbaya ni nini,kwani mtoto anapunguza nini kwenye familia?
Roho mbaya tuuuu
 
Uchoyo plus ubinafsi wa mali atazo gawiwa huyo kijana ndio zinazo kutesa kuna ka asset unaona wanao watapunjika akiongezeka huyo. Ila kumbuka huyo anafuata matunzo tu atimize ndoto zake ,About tommorow ajuae ni mungu.Hakuna cha bond wala james bond.
 
Ameeeen, mama mlezi. Hujawahu kushindwa ktk mambo haya.
 
Bond kati ya mzazi.na mtoto huwa haiondoki kirahisi. Mama atataka kumchukua mwanae likizo. Haya mambo ni magumu na yanahitaji sana hekima na busara katika kutafanyia maamuzi
 
@yangshu we ni mchina kwa ubatizo?
Hili jina sio la kibantu.
Anyways. ..jipange kuchonganishwa na mumeo kama mtoto ni mkubwa kidogo (anaweza kuchongea kwa baba). Ukimkemea hata kama kosa analo...vumilia yajayo
 
@yangshu we ni mchina kwa ubatizo?
Hili jina sio la kibantu.
Anyways. ..jipange kuchonganishwa na mumeo kama mtoto ni mkubwa kidogo (anaweza kuchongea kwa baba). Ukimkemea hata kama kosa analo...vumilia yajayo
Mimi sio Mchina ni jina tu. Kuhusu kuchonganishwa possibly inaweza ikatokea. Maana hata huko aliko anachongea. Naonaga anavyompigia simu na kumueleza mambo. Kama huko anafanya hivyo akija anaweza fanya the same au asifanye..i dont know! Ndiyo hivyooo najiandaa kuvumilia yajayo.
 
Uchoyo plus ubinafsi wa mali atazo gawiwa huyo kijana ndio zinazo kutesa kuna ka asset unaona wanao watapunjika akiongezeka huyo. Ila kumbuka huyo anafuata matunzo tu atimize ndoto zake ,About tommorow ajuae ni mungu.Hakuna cha bond wala james bond.
Nyie ndio wale mnafeligi mtihani. Soma uelewe ndugu sio kuanza ku attack. Mali kitu gani wewe. Mimi sina shida ya mali ninazo za kutosha aisee.
 
Km ni wa kiume mfanye kibenteni ndani kwa ndani..... Bond itakua imetiki kirahisi kabisaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…