Soon nakuwa mama wa kambo. Nahitaji maombi yenu na ushauri wa maisha haya mapya

Wangshu:

Hii dunia hakuna ulichokuja nacho na wala hakuna utakachoondoka nacho tambua sisi sote ni wageni hapa.


Changamoto yetu kubwa hapa duniani ni UPENDO haijalishi una Imani kubwa kiasi gani yakuhamisha mito milima na mabonde kama una Imani ni bure.


Cha kwanza unapaswa kujua dhumuni la wewe kuwa hapa duniani ni nini au ni huyo mtoto wa kambo? Kuna watu walipishana pasipokujua alikuja ndani ya nyumba zao. Pengine huyo ndiyo baraka za nyumba yako au ni mkombozi wa watoto wako siku za usoni.

Let πŸ’š , Lead !!
 
Hii ndio perception ya watu kwa baadhi ya step mothers. Roho mbaya hiyo vipi! roho mbaya labda unayo wewe na mawazo yako negative towards wengine. Mimi nimeshaandika toka mwanzo roho mbaya sina. Na ningekuwa nayo wala asingesema anamleta mtoto.
Samahan mama wa kambo mtarajiwa lakn wachangiaji wote hatuwez kuwa na mtazamo mmoja "nilikua nachomekea tu " in magufuli voice
 

Mwenyekiti; natamani unisimulie kidogo hapo kwa bro na mkewe na mtoto; kascenario kao kidogo tu.
 
Thank you a million times. Kweli umenielewa concern yangu na umenipa ushauri mzuri. Nondo kama hizi ni muhimu. Kuna wachangiaji wengine wamekazana ooh una roho mbaya blah blah mi siko huko.
 
Huyo ni mali ya mumeo kua mpole,mtoto akija kuishi na ndgu zake ni jambo zuri
 
Nashukuru! umenielewa na mimi nimekuelewa sana tu.
 
Kunywa bia bucket mbili kwa bili yng,mke ambae hapendi mwanao ndio dawa yke kuendeleza game kwa mzazi mwenzio...mimi na case kma yko namvutia kasi nimpe mtoto wa 2
 
Yaani mtu ulipewa taarifa kabla hata hujaolewa afu et leo unakuwa na wasiwasi miaka yote hiyo kama siyo roho mbaya ni nini,kwani mtoto anapunguza nini kwenye familia?
Sijasema anapunguza kitu. Nilitaka kujifunza mambo tofauti tofauti hapa juu ya hilo jambo langu. Roho mbaya labda unayo wewe. Mimi sina hiyo
 
Nimekupata! asante
 
Huhitaji kujiandaa kisaikoloji,ni kumpokea na kumkubali kama mtoto wako.Changamoto ni kama mama yake wa kumzaa yupo,sina hakika kama utaweza kumlea vizuri.Ukimkaripia au kumuonya ni rahisi kumkumbuka mama yake na kutamani kurudi.
 
Wengine tulifanyiwa vitimbi na mama zetu wa kambo vya kila aina lakn Leo hii ndio tunawalea na wanatutegemea kwa kila kitu

Hakuna anaye ijua kesho yake
Mimi kamwe siwezi kumsaidia mtu aliyeninyanyasa hata kwa kumpa mia tano tu.
 
Na uzuri alipewa taatifa kabla ya ndoa sa nashangaa anachoogopa ni nini?
Mimi siogopi wajameni. Taarifa nilipewa ndio na hata taarifa yenyewe mimi nilihoji kama ana watoto au mtoto? Sio yeye alianza kusema. Huenda nisingeuliza labda nisingeambiwa ! i dont know. Basi akasema yupo but sijawahi mfuatilia. Mimi hapa nikasema kama yupo basi kamtafute umlete maana staki uje uniletee mtoto mkubwa sijui amelelewaje, amepata elimu gani etc. Kama atakuwa part ya maisha yako kamtafute. Akatafutwa lakini sasa hakuletwa nyumbani. So nashangaa wanaosema roho mbaya blah blah. Am not that kind of a person. Kwa sababu zake anazojua mwenyewe hakumleta wakati huo na kwa sababu zake anamleta wakati huu. Mimi niko peace tu.Maisha yanaendelea. Nachofanya ni maandalizi ambayo yanaambatana na kujifunza basi.
 
Mwenyekiti; natamani unisimulie kidogo hapo kwa bro na mkewe na mtoto; kascenario kao kidogo tu.
Bro ni single father πŸ˜‚
Sasa kaja kuoa, ila huyu mtoto na mama wa kambo haziivi, mtoto kishalishwa sumu na mamake huko hamuheshimu kabisa step mom sometimes huwa anasema"baba angu ana wake wawili, huyu na mama angu"

Wifi angu huwa anasema kabisa mi simpendi huyu mtoto, wala familia hatumuoni ana roho mbaya wote tunamuelewa
 
Sijasema anapunguza kitu. Nilitaka kujifunza mambo tofauti tofauti hapa juu ya hilo jambo langu. Roho mbaya labda unayo wewe. Mimi sina hiyo
Basi kama ni hivo huna cha kuhofia yaani kiufupi aishi kama wenzie na ukiwatreat sawa wote hamna atayekupangia malezi reward na punishment ziwe kwa wote
 
He/ She is just a little child. Achana na suala la bond. Litakuja tu.

Love wins over everything, even the hardest of hearts.

Let the child be a child,know that he is a different human being with different upbringing but also know that his addition into your family can make yours a happier one. The more the merrier they say.

Acceptance is key, take him in as you would have another woman take in your kids and slowly mould him into a responsible, moral and upright young man.

About discipline, be fair and just.

Let God lead and all the best.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…