Soon Putin anakamatwa tu. Kama Ukraine wameweza kuingia Urusi na kuteka watu basi Putin atakuwa mikononi soon

Soon Putin anakamatwa tu. Kama Ukraine wameweza kuingia Urusi na kuteka watu basi Putin atakuwa mikononi soon

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Nimeshawaambia kuwa weatern siyo watu wazuri wakitaka jambo lao lazima litimie. Putin alinifanya mjanja sasa anapumulia mashine. Ukrain wameweza kuingingia nchini mwake na wanateka watu na putin analia kama mtoto.

Usicheze na nchi zenye demokrasia

Nchi za kidictator zinakuwa na poles nyingi za kuingilia maana dictator huwa anacreate maadui wengi wa ndani ambao wanatoa siri.

Hakuna nchi ya kidictator ambayo ni going concern.
 
Nimeshawaambia kuwa weatern siyo watu wazuri wakitaka jambo lao lazima litimie. Putin alinifanya mjanja sasa anapumulia mashine. Ukrain wameweza kuingingia nchini mwake na wanateka watu na putin analia kama mtoto.

Usicheze na nchi zenye demokrasia

Nchi za kidictator zinakuwa na poles nyingi za kuingilia maana dictator huwa anacreate maadui wengi wa ndani ambao wanatoa siri.

Hakuna nchi ya kidictator ambayo ni going concern.
Umeamka vibaya leo
 
Nimeshawaambia kuwa weatern siyo watu wazuri wakitaka jambo lao lazima litimie. Putin alinifanya mjanja sasa anapumulia mashine. Ukrain wameweza kuingingia nchini mwake na wanateka watu na putin analia kama mtoto.

Usicheze na nchi zenye demokrasia

Nchi za kidictator zinakuwa na poles nyingi za kuingilia maana dictator huwa anacreate maadui wengi wa ndani ambao wanatoa siri.

Hakuna nchi ya kidictator ambayo ni going concern.
Nyie kila cku tumechoka kuwapa elimu bakini na ujinga wenu ivo ivo
 
Wakati hii operation imeanza Putin alienda mpaka ndanindani huko Ukraine,Tena akiwa anaendesha chombo na wakati huo warranty za kumkamata zilikuwa zishatoka,
Me naona ni anawalia timing wajae kwenye mfumo Kisha awalipue
 
Nimeshawaambia kuwa weatern siyo watu wazuri wakitaka jambo lao lazima litimie. Putin alinifanya mjanja sasa anapumulia mashine. Ukrain wameweza kuingingia nchini mwake na wanateka watu na putin analia kama mtoto.

Usicheze na nchi zenye demokrasia

Nchi za kidictator zinakuwa na poles nyingi za kuingilia maana dictator huwa anacreate maadui wengi wa ndani ambao wanatoa siri.

Hakuna nchi ya kidictator ambayo ni going concern.
western walishawahi kumkamata nani mpk putin awe wa pili
 
kwa akili yako unafikiri Ukraine anaweza kuingia Urusi bila greenlight ya USA and West? Thubutu yake. Hapo USA na West wanalazimisha tu WW3 basi kisha baadae waanze kusema Putin mchokozi. Hao west wanachokitafuta kwa Putin watakipata tu.

Huyo Russia amelazimika tu kuipiga Ukraine kwa sbb west wanamtishia usalama wake, ila hajawahi kuingia nchi yeyote na kuleta vita. lakini US na West countries ndio wavamiaji wa nchi za watu na kuleta vita..

Hii dunia ingekuwa salama sana bila USA na Western Europe.
 
kwa akili yako unafikiri Ukraine anaweza kuingia Urusi bila greenlight ya USA and West? Thubutu yake. Hapo USA na West wanalazimisha tu WW3 basi kisha baadae waanze kusema Putin mchokozi. Hao west wanachokitafuta kwa Putin watakipata tu.

Huyo Russia amelazimika tu kuipiga Ukraine kwa sbb west wanamtishia usalama wake, ila hajawahi kuingia nchi yeyote na kuleta vita. lakini US na West countries ndio wavamiaji wa nchi za watu na kuleta vita..

Hii dunia ingekuwa salama sana bila USA na Western Europe.
ila pro Russia wengi wenu watupu kichwan kwamba Urusi hajawai ingia nchi yoyote ? Afghanstan , Georgia , Finland , Moldova niendelee ? hv unajuwa Urusi ndo miongon mwa mataifa bado yana makoloni mpk kesho au unasubit west waseme kisha uite propaganda
 
Back
Top Bottom