Haaaah huyo straika anayekabwa na watu watano kweli atakua kiboko zaidi ya mpira unaokabwa na watu 22Hahahah mkiaFc wanasumbua kweli eti wanaleta straika anayekabwa na mabeki wa5 hahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaah huyo straika anayekabwa na watu watano kweli atakua kiboko zaidi ya mpira unaokabwa na watu 22Hahahah mkiaFc wanasumbua kweli eti wanaleta straika anayekabwa na mabeki wa5 hahaha
ngoja aje tuone kwelii??Haaaah huyo straika anayekabwa na watu watano kweli atakua kiboko zaidi ya mpira unaokabwa na watu 22
umenifurahisha hii sentence yako ya mwisho.nimekuelewa.Niyonzima ni mchezaji wenu acheni kuweweseka.
Asante mkuuumenifurahisha hii sentence yako ya mwisho.nimekuelewa.
sijawahi kusoma gazeti au kusikia chombo cha habari kuna kiongozi wa Simba amezungumza kuwa wamemsajili Ngoma na Niyonzima zaidi ya kusikia taarifa ya Mkwasa kuwa wameshindwana na Niyonzima na wanamtakia kila la heri huko aendako.Tafakari huu msemo wa kiingereza ili utupe mrejesho sisi mambumbu ..."Don't argue with a foolish otherwise you will become a foolish yourself".....
Suub-hana-allahu! Kumbe Ismail Aden Rage ni mtu na akili zake...wallah mimi kusikia makelele yooote yale mpaka tukaanza kupangiwa kikosi cha msimu ujao na Niyonzima akiwemo nilijua ameshasaini! Wamerogwa na nani hawa?
Kati ya mwanafunzi anayeishia shahada za kwanza (Bachelor's)tatu lakini akashindwa kufaulu shahada ya pili (Masters) hata moja, na anayeshindwa hata hiyo ya kwanza mara tatu, nani amekosa mwelekeo? Nani ana wasifu (CV) bora zaidi?, nani ataangaliwa mwanzo kwenye ajira, masomo zaidi, n.k.?Ndio kukosa kwenyewe muelekeo huko. Timu kwa miaka mitatu mfululizo ipo hapo hapo tu imeshikilia kombe haielekei nyuma unafikiri majirani wasemeje?
Yanga bhana...inakeeeeeeera watu wa sokoni!
Una ushahidi kama simba walitaka kumsajili Ngoma?! Yaani hizi akili ndogo za magazeti ndio zinawanyima usingizi. Kipindi hiki huwa sinunui gazeti la michezo labda nione mchezaji anasaini. Zaidi ya hapo ntasoma vichwa vya habari, natembea!Hivi ndivyo watakavyojifariji Kama walivyojifariji kwa yaliyotokea kwa Ndombo Ngoma Jana.. ...stay tuned
Wewe unadhani Niyonzima kuchezea simba Ndiyo kutwaa ubingwa? Kwa viongozi wezi na watakatishaji fedha mlio nao hata mkimsajili mesi bado mtaishia kufungwa tu...pamoja na hilo bado Niyonzima hawezi kujiunga na simba hata mtembee uchi mchana kweupeNiyozima Atachezea Simba, mwenye kubisha tusibiri tarehe 2 jully 17 Majibu yatatoka kujifariki kwa kuumizwa na hili ruksa.
Tatizo mashabiki wao kila mwaka wanadanganyika wenzao wanapiga hela tuViongozi Simba ni janja yao tu kudanganya kusajili huku wanafIcha matatizo yanayopigiwa kelele na mashabiki pamoja na wanachama
Mrudisheni Musa Hasani Mgosi, jembe sana yule na anaifunga sana YangaAsante sana mkuu, umeeleza vizuri.
Maana kuna watu hata ukiwaelewesha hawaelewi, nadhani kuna ka mhemuko fulani.
Wachezaji wote wanao sajiriwa na Simba sc, wanaonekana kwenye Simba Blog.
Zaidi ya hapo hakuna ukweli wowote.
Kama mtu anasikia habari za mtaani kuhusu usajiri ajue jabari hizo sio za kweli.
Pia huwezi kujua nani anayeongea kama huijui ID yake.
Kama mtu anamashaka na jambo aulize kwenye vyanzo vya habari vya Simba sc.
Zaidi kama mtu ana simu za android a download App ya Simba sc. Ina habari zote za usajiri wa timu.
Blog hiyo imeambatanisha hadi picha za wachezaji wote wa Simba sc, pamoja na wale waliosajiriwa kwa msimu ujao
Zaidi ya hapo ni minong'ono ya mtaani tu.
Mtulizage basi akili kabla hamjajibu. Hebu soma tena kwa utulivu nilichoandika ndio utajua mimi ni wa upande upi.Kati ya mwanafunzi anayeishia shahada za kwanza (Bachelor's)tatu lakini akashindwa kufaulu shahada ya pili (Masters) hata moja, na anayeshindwa hata hiyo ya kwanza mara tatu, nani amekosa mwelekeo? Nani ana wasifu (CV) bora zaidi?, nani ataangaliwa mwanzo kwenye ajira, masomo zaidi, n.k.?
Chukua simu yako, weka bando, nenda kwenye kitumizi cha Play Store, tafuta blog aMrudisheni Musa Hasani Mgosi, jembe sana yule na anaifunga sana Yanga
SamahaniMrudisheni Musa Hasani Mgosi, jembe sana yule na anaifunga sana Yanga
Jipe moyo! Ngoma kiwango kimekata pumzi Niyonzima akija atakaa benchi tuuVipi kuhusu Ngoma ? Offer yenu ya 180ml imeishia wapi? Mmedanganywa mkadanganyika subiri uone Aisha Manula na Niyonzima kama utawaona msimbazi