mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Ist ruti za porini itawezaMishahara yao ina kaz gani, mbona ist bei chee tu. Basi washike bomba tuomdoke kama vipi....
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ist ruti za porini itawezaMishahara yao ina kaz gani, mbona ist bei chee tu. Basi washike bomba tuomdoke kama vipi....
Rav 4 ni luxury sana, haifai kuingia maneo korofi. Na zile za zamani kupata 0km si rahisi hazipo kwenye production. Kuna hizi hardtop nazo ni offroad na si ghali kama maV8.Kwa nini wasinunuliwe RAV 4??
Mkonga zinatufaa sana. Zile ni gari za kazi. Haya mav8 ni starehe tu.Mama kachoka kupanda mkonga
Naona anataka v8 au lx 😄
Ova
Zile ndiyo gariMkonga zinatufaa sana. Zile ni gari za kazi. Haya mav8 ni starehe tu.
Halmashauri inaongozwa na Mkurugenzi wa halmashauri sio DCHalmashauri hiyo hiyo anaongoza halafu inamwazima gari ?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Hao ni waongo haiwezekani DC akakosa gari sema kinachotokea ni mashauzi mtu akihamia wilaya mpya akakuta gari ya zamani yeye haitaki kwa kuona si ya hadhi yake ndipo anapoanza kuazima gari kwa DED tena hadi wanaingia kwenye ugomvi wakati katoka kwenye familia ya kimasikini kabisa hata baiskeli baba yake hakuwahi kumiliki lakini kwa kuwa wakati anasoma amejikombakomba CCM hadi kapewa cheo anaanza maigizo yake.DC wa hiyo wilaya hajawahi kuwa na gari? Ndani ya miaka 5 iliyopita
Nchi ambayo inamtendaji katika ngazi ya kata,trafalgar,kijiji na hadi mtaa lakini DC anakuambia anataka kukagua miradi? Kwanini msiwajengee uwezo hao watendaji wangekua wasimamizi wazuri sana kwenye maeneo yao mana wanafanya kazi huko miradi ilipo sasa unakuta gharama zakukagua mradi misafara yake ni zaidi ya gharama za miradi yenyewe ndio mana tunakua na budget kubwa kwenye matumizi kuliko maendeleo hizo ndio sababu kuu na hatuwezi kufanikiwa kwa mwendo huu lazima tuitazame structure yetu ya uongozi ina Tija? Na kama haina tija hilo ndio eneo lakulifanyia kazi kuliboresha serikali itapunguza gharama nyingj nakuelekeza kwenye maendeleoMkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, Sophia Mfaume Kizigo amesema Wakuu wa Wilaya hutumia magari ya kuazima Halmashauri na kwa RAS na kwamba leo hutumia gari hili, kesho lile na wakati mwingine huwa wanapanga ziara huku mtu
Tena tumechelewa, ilibidi kifutwe miaka 10 iliyopitaHiki cheo kifutwe tu, cha kazi gani?
Basi wanunue Jeep kwa mikopo, watalipa kwa mishahara.Ist ruti za porini itaweza
Ova
Nilijua anatemba kwa mguu, mwambieni apunguze kudeka.Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, Sophia Mfaume Kizigo amesema Wakuu wa Wilaya hutumia magari ya kuazima Halmashauri na kwa RAS na kwamba leo hutumia gari hili, kesho lile na wakati mwingine huwa wanapanga ziara huku mtu mwenye gari akitaka kulitumia pia.
Sawa lakini halmashauri hiyo hiyo kumwazima gari DC haijakaa sawa.Halmashauri inaongozwa na Mkurugenzi wa halmashauri sio DC
Usalama wetu wananchi na taifa ni jambo la mwanzo kabisa....Sawa lakini halmashauri hiyo hiyo kumwazima gari DC haijakaa sawa.
Hizi ofisi za wakuu wa wilaya nje ya kuwa wenyeviti wa kamati za ulinzi na usalama wilayani hazina kitu kingine cha maana.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Mkuuu kuna na mbunge yupo chini yake,kuna na diwani yupo chini ya mbunge,Kuna na mwenyekiti yupo,kuna mtendaji yupo,kuna na barozi aka mjimbe wa nyumba kumi...Sijawahi kuona umuhimu wa mkuu wa wilaya hiyo nafasi iondolewe
Mbunge anakuaje chini ya mkuu wa wilaya?Mkuuu kuna na mbunge yupo chini yake,kuna na diwani yupo chini ya mbunge,Kuna na mwenyekiti yupo,kuna mtendaji yupo,kuna na barozi aka mjimbe wa nyumba kumi...
Ipitie tena katiba....Mbunge anakuaje chini ya mkuu wa wilaya?