Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Lengo la Makufuli ni kuondoa wakongwe wote maarufu(al-watan) na kuweka vibaraka wake pekee.

Kinana siku na enzi zako zimefika tamati inaingia enzi ya kina Polepole na wengine wa Kimisungwi/Kolomije type.

Wako wapi makatibu wa mikoa na wilaya wa zamani?

Kinachofuata ni wengi kama sio wote Wenyeviti wa zamani na wa Nec kung'olewa.

Na huku ndio kujenga udikteta hadi kwenye chama
 




Hongera kwa ujasiri wako,unapoelekea unaweza kuikana hadi jinsia(jinsi)yako,yani video inaonesha dhahiri akipiga makofi kukubaliana na wimbo wa "imani kwa Lowassa wewe unabisha?Wewe kiboko.
 
Ahamie CHADEMA, shimo la uchafu na vitu vibovu
KAULI ZA KIJINGA.MACHALI KUJA KWENU NA WENGI SIWATAJI MAJINA NI UCHAFU ?MTU ANA UHURU KUCHAGUA ATAKAPO.AFANDE SELE NAYE UTASEMAJE.?KAMA HUNA CHA KUSEMA BORA UKAKAA KIMIYA.
 
Mmoja akiokoka ni furaha...lazima avikwe vazi jipya na kuchinjiwa mwanakondoo aliyenona
 
I wish I kudu be CCM chairman katika ubora wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…