twahil
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 4,100
- 2,795
Ficha upumbavu wako wewe kibwenye!Mapenzi hayalazimishwi,mbona Waziri mkuu Majaliwa alikuwa ni miongoni mwa walioimba wimbo wa imani na Lowassa na hajachukuliwa hatua?Huo ni uonevu wa dhahiri kwa mama Sophia Simba.
Tangu linivulisikia kauli ya Mh. Majaliwa kumuunga mkono Lowasa??? Ulisikia akilalamika kuwa hakuridhika na maamuzi yaliyochukuliwa kumuengua Lowasa???
Hio video unamuona Mh. Majaliwavakiimba au amesimama kama ada iwapo Mwenyekiti anakuwa anaingia ukumbini??? Chadema acheni propaganda za kitoto....