Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaha.....Tunaambiwa ccm iko mapande matatu , wewe uko ccm the don au ccm tumbo ?
Kile kitendo cha wao kutoka kwenye kikao cha Kamati Kuu na kujitenga na maamuzi ya kikao kwakweli walistahili adhabu kali....
Najua wangekuwa chadema wangefukuzwa siku hiyohiyo ila CCM kwakuwa inaamini katika vikao ilisubiri wakati ufipe na umefika hatua zimechukuliwa.
Wasimsahau Kassim MajaliwaWasimsahau Jesica Msavatavangu
Nyumbu ni nyinyi mnaongozwa na mtindo wa zidumu fikra za mwenyekiti.Kweli nyumbu mna Akili za kuku! Hivi chadema inavyoendeshwa kibabe kuna chama kinachozidi chadema kwa ubabe!? By the way Ben Saanane yuko wapi? Chacha wangwe yuko wapi? Zitto naye alitimuliwaje!
Unamuandama sana huyu jamaa, kakuchukulia mke (kama unae lakini) nini??Bado Bashe
Oil chafu ileHiki chama kinakoelekea ukibishana na mwenyekiti unanyongwa
Kwa kweli.Tunakarabati nyumba
Mkuu,Bora CCM wameamua kuvua unafiki ....wapinzani wanaibeza CCM inayojitengeneza ...watatutawala hadi labda wajukuu zetu wajielewe lakini si upinzani huu uliojaa ujanja ujanja ....
Kwani kosa lake kubwa ni lipi? Kama ni kuongea msimamo wake wafukuzeni wooooote walioimba wana imani na lowasa,mmemuonea kwakuwa,ni mwanamke...NCHIMBI MKAMPA UBAROZI KWA SABABU MMEONA ANGEWESUMBUA AKIJA UPINZANI....Akija CHADEMA huyo mama SIMBA ghafla anakuwa mtakatifu, chadema wanamfutia tuhuma zote anazituhumiwa, kama mwenzake LOWASA na MAHANGA, manake huko nyuma CHADEMA mlikuwa mnahoji uhalali na upatikanaji wa PhD ya Dr mahanga, ila leo hii mahanga wamemfutia tuhuma (CHADEMA wana mamlaka kama ya mahakama), Lowasa miaka nane ya matusi, kutukanwa na kejeli kutoka CHADEMA na gazeti lao la MWANAHALISI leo hii anaonekana DHAHABU ngojea tusubirie kwa huyu mama SIMBA sijui itakuwaje.
Wasimsahau Jesica Msavatavangu
Chama hakitaki mtu awe na mawazo tofauti. Mwenyekiti akisema vua unavua kweli. Ukigoma unatimuliwa.
Hata Kenya vitu VIBOVU vilipoungana viliitoa KANU.Ahamie CHADEMA, shimo la uchafu na vitu vibovu
Hutakiwi kuhoji chochote, hata mwalimu angekuwa hai lazima angevuliwa uanachamaHiki chama kinakoelekea ukibishana na mwenyekiti unanyongwa